Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
Kiwango cha mbegu za uzazi za kiume wakati wa tendo la ndoa la kujamiiana kimeshuka kwa 51% katika kipindi cha karibu miaka 50 iliyopita.
1. Uzito mkubwa wa mwili.
Mtu mwenye kitambi na uzito mkubwa huwa na mafuta zaidi kati uume, korodani na mirija ya mbegu na kuadhiri utengenezaji wa mbegu.
2. Matumizi ya pombe na dawa za klevya.
Unywaji pombe wa kupindukia , shisha, sigara za umeme, bangi, mirungi, kokaine, na dawa zingine za anabolic steroid zote huathiri viungo vya uzazi na mwanaume.
3. Magonjwa ya zinaa.
Kuambukizwa majonjwa kama Klamidia na kisonono, majeraha katika mirija ya uzazi huathiri shahawa.
4. Kompyuta kwenye mapaja.
Mbegu za kiume hupaswa kuwa na hali ya hewa ya ubaridi ya 1-2*C kwakuwa betri ya kifaa hicho hupata joto.
5. Vyakula vya wanga visivyo na virutubishi kama chips kavu.
1. Uzito mkubwa wa mwili.
Mtu mwenye kitambi na uzito mkubwa huwa na mafuta zaidi kati uume, korodani na mirija ya mbegu na kuadhiri utengenezaji wa mbegu.
2. Matumizi ya pombe na dawa za klevya.
Unywaji pombe wa kupindukia , shisha, sigara za umeme, bangi, mirungi, kokaine, na dawa zingine za anabolic steroid zote huathiri viungo vya uzazi na mwanaume.
3. Magonjwa ya zinaa.
Kuambukizwa majonjwa kama Klamidia na kisonono, majeraha katika mirija ya uzazi huathiri shahawa.
4. Kompyuta kwenye mapaja.
Mbegu za kiume hupaswa kuwa na hali ya hewa ya ubaridi ya 1-2*C kwakuwa betri ya kifaa hicho hupata joto.
5. Vyakula vya wanga visivyo na virutubishi kama chips kavu.