Sam Jr official
Senior Member
- Dec 21, 2017
- 108
- 100
Habari za humu wakuu.
Kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyojieleza,Nimepata wazo la kuanza biashara ya kupack na kuuza chai.
Awali ya yote natakiwa nifuate procedure zote za kiserikali,kuanzia TFDA Mpaka TRA, kiukweli mm sijui mlolongo wa hizi taratibu, kwa mwanajamvi anayejua naomba shule kidogo.
Pia naomba mtu ambaye anajua kiwanda cha vifungashio ambacho nnaweza kwenda hadi na jina bidhaa yangu wakai-brand mm navyotaka.
Ningependa kujua machine ya kufungia Ile package yangu, zinapatikana wapi na kwa bei gani.
Ahsanteni sana wote mtakaonipokea Kwa mtazamo chanya.
Kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyojieleza,Nimepata wazo la kuanza biashara ya kupack na kuuza chai.
Awali ya yote natakiwa nifuate procedure zote za kiserikali,kuanzia TFDA Mpaka TRA, kiukweli mm sijui mlolongo wa hizi taratibu, kwa mwanajamvi anayejua naomba shule kidogo.
Pia naomba mtu ambaye anajua kiwanda cha vifungashio ambacho nnaweza kwenda hadi na jina bidhaa yangu wakai-brand mm navyotaka.
Ningependa kujua machine ya kufungia Ile package yangu, zinapatikana wapi na kwa bei gani.
Ahsanteni sana wote mtakaonipokea Kwa mtazamo chanya.