Timbwilimbiz
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 201
- 174
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,
Nafuta mashine ya kukandia ng'ano
Yenye uwezo wa kukanda kilo 30 hadi 50.
Naomba yoyote mwenye kujua wapi zinapatikana hizo machine na bei yake.
Please anifanyie wepesi
Ahsanteni kwa kuusoma uzi huu
Nafuta mashine ya kukandia ng'ano
Yenye uwezo wa kukanda kilo 30 hadi 50.
Naomba yoyote mwenye kujua wapi zinapatikana hizo machine na bei yake.
Please anifanyie wepesi
Ahsanteni kwa kuusoma uzi huu