Natafuta machine ya kukanda ng'ano

Natafuta machine ya kukanda ng'ano

Timbwilimbiz

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2017
Posts
201
Reaction score
174
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,

Nafuta mashine ya kukandia ng'ano
Yenye uwezo wa kukanda kilo 30 hadi 50.
Naomba yoyote mwenye kujua wapi zinapatikana hizo machine na bei yake.

Please anifanyie wepesi

Ahsanteni kwa kuusoma uzi huu
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,

Nafuta mashine ya kukandia ng'ano
Yenye uwezo wa kukanda kilo 30 hadi 50.
Naomba yoyote mwenye kujua wapi zinapatikana hizo machine na bei yake.

Please anifanyie wepesi

Ahsanteni kwa kuusoma uzi huu
Upo wapi?
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,

Nafuta mashine ya kukandia ng'ano
Yenye uwezo wa kukanda kilo 30 hadi 50.
Naomba yoyote mwenye kujua wapi zinapatikana hizo machine na bei yake.

Please anifanyie wepesi

Ahsanteni kwa kuusoma uzi huu
Hata Mimi nahitaji Niko Kilimanjaro but ninatarajia kwenda dar mwezi ujao, so zinapatikana kariakoo maeneo gani?
 
Kuna duka moja posta nyuma ya xtelecom building wana kila kitu kwaajiri ya jikoni
 
Ungekuwa uko Dar ningekuelekeza duka linalouza hizo bidhaa lakini kwa Arusha sijui.
OK, lkn c vibaya ukinielekeza tu
Kwa sababu dar kuna ndugu na jamaa wanaweza kunifanyia kaz hiyo
Please ni Muhimu sana
Nimeshika tenda Mahalia fulani
 
OK, lkn c vibaya ukinielekeza tu
Kwa sababu dar kuna ndugu na jamaa wanaweza kunifanyia kaz hiyo
Please ni Muhimu sana
Nimeshika tenda Mahalia fulani
Ok Kariakoo mtaa wa Masasi, opposite na kanisa la KKKT Kariakoo kuna duka pale linauza vifaa vya bakery.
 
Back
Top Bottom