kinachoniuma sisi wenye dada, ndo unakuta dada yako kafa kaoza na mafunza anatoa kwa kijana kama huyo, ambaye si dira tu ya maisha hana hata hela ya kwenda kumezea mmea anachukua kwa dada yako, sasa unajiuliza wajomba zako watakuwaje maana shemeji ni hatari zaidi ya sumu ya teja. M
Mungu tupe uvumilivu..