Kiwanda cha General Tyre kufunguliwa muda wowote kuanzia hivi sasa.Leo wajerumani wamekabidhi shares 26% kwa serikali hivyo 100% GT iko kwa serikali ambapo balozi Ombeni Sefue alishuhudia hilo tukio.
Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anasema muda wowote wanaweza kufanya trial run wanamalizia kurekebisha mifumo ya umeme, malighafi zipo za kutosha.
Chanzo: Channel Ten habari leo
Leo kwenye taarifa ya habari ya Channel 10, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha General Tyre cha Arusha mapema iwezekanavyo.
Tunajua kwamba Mh Lowasa alipoenda kutafuta wadhamini Mkoani Arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, Arusha General Tyre.
Sasa naona serikali ya CCM imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa Namwomba Mh. Lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka.
Bravoo Lowassa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi
Mkuu unakosea, sema mfumo wa CCM nitatizo, hawana jipya.
It's working. CCM hawakumtaka Lowassa kwa sababu wanajua rekodi ya uchapakazi wake! Yeye sio msanii akisema kitu anamaanisha.
Hongera sirikali
Eti wamejiongeza baada ya Lowassa kuongea siku ile alipochukua fomu.Kweli Lowassa kiboko yao.
Lowasa wenu huyo huyo alishataka kujiuzia na aliekiokoa ni Mbunge wa Arusha Godbless Lema kupiga makelele na kumobilize wananchi kukilinda siku ya mnada. Ndo kilichokwamisha. National Milling alishajimilikisha na kumuweka MONABAN pale leo eti kawa malaika. Wabongo ni kiboko. Nadhani hata Lema atakuwa kachanganyikiwa japo ukanda unqjaribu kuwaunganisha hawa watu.[/QUOTe
Sasa tusipo unganishwa na ukanda tutaunganishwa na nini? Mbona wewe hujiiti mwarabu wakati tz kuna waraabu? Kama unajifanya umepoteza asili yako basi kweli wewe ni lofa kama alivyokuita mkapa
Hahaha vi wonder.😀Serikali Ya Viwanda 😛
mkuu si kuna vyerehani vingi mle ndani amekudisappoint kivip?Mwijage amedisappoint katika hili!
Tuna Imani Na Rais Pia Waziri Haa😀Mwijage amedisappoint katika hili!
Kwahiyo ndio mnamtupia lawama??Mwijage amedisappoint katika hili!