Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Kiwanda cha General Tyre kufunguliwa muda wowote kuanzia hivi sasa.Leo wajerumani wamekabidhi shares 26% kwa serikali hivyo 100% GT iko kwa serikali ambapo balozi Ombeni Sefue alishuhudia hilo tukio.

Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anasema muda wowote wanaweza kufanya trial run wanamalizia kurekebisha mifumo ya umeme, malighafi zipo za kutosha.

Chanzo: Channel Ten habari leo
Baada ya uchaguzi nini kimetokea,sina ubishi CCM imejengwa kwenye misingi ya uongo. Sasa hivi wamekazana kujenga viwanda kwa mdomo,
 
general tyre CCM wameamua kufugia panya pale na majani ya ng'ombe. shameless
 
Kiwanda cha General Tyre kufunguliwa muda wowote kuanzia hivi sasa.Leo wajerumani wamekabidhi shares 26% kwa serikali hivyo 100% GT iko kwa serikali ambapo balozi Ombeni Sefue alishuhudia hilo tukio.

Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anasema muda wowote wanaweza kufanya trial run wanamalizia kurekebisha mifumo ya umeme, malighafi zipo za kutosha.

Chanzo: Channel Ten habari leo
Leo August 16 th 2017 tunatimiza miaka miwili tunasheherekea toka kiwonder kianze uzalishaji ,Hongera Hapa kazi tuu
 
Toka awamu ya nne JK.wakishaanza majadiliano ya kukifufua kiwanda hicho. Ni viwanda vingi ST hii data fufua. Kama no wazo la lowassa safi tu. Tulichotaka kinafanyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viwanda vinajengwa Kwa midomo !
Wakififue basi mbona wa mbwelambwela tu

Ova
 
Kiwanda cha General Tyre kufunguliwa muda wowote kuanzia hivi sasa.Leo wajerumani wamekabidhi shares 26% kwa serikali hivyo 100% GT iko kwa serikali ambapo balozi Ombeni Sefue alishuhudia hilo tukio.

Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anasema muda wowote wanaweza kufanya trial run wanamalizia kurekebisha mifumo ya umeme, malighafi zipo za kutosha.

Chanzo: Channel Ten habari leo
Ajira zaidi kwa vijana hizo,hongera JPM.Halafu eti mtu anamlinganisha JPM na Kikwete, very stupid indeed.Sijui watu wengine vichwa vyao vimejaa makamasi?! Ila naamini hata pamoja na uzumbukoko wao,itafika mahali watasalimu amri.Viva JPM.
 
Ajira zaidi kwa vijana hizo,hongera JPM.Halafu eti mtu anamlinganisha JPM na Kikwete, very stupid indeed.Sijui watu wengine vichwa vyao vimejaa makamasi?! Ila naamini hata pamoja na uzumbukoko wao,itafika mahali watasalimu amri.Viva JPM.
Hua unasomaga nyuzi vizuri??? Tuanzie hapa kwanza
 
Ajira zaidi kwa vijana hizo,hongera JPM.Halafu eti mtu anamlinganisha JPM na Kikwete, very stupid indeed.Sijui watu wengine vichwa vyao vimejaa makamasi?! Ila naamini hata pamoja na uzumbukoko wao,itafika mahali watasalimu amri.Viva JPM.

Mzee wa area 51 haujielewi
 
Bandiko limekugonga,pole.
Nakurekebisha tu Mkuu wala mimi sio wa nyodo na taarabu. Angalia nyuzi ni ya August 2015 na mpaka leo hakuna update ya kiwanda kufufuliwa.

Alafu anakuja mtu anaseme Viva Magufuli, Hongera Magufuli.

Lazima tutatiashaka na wew
 
Kiwanda cha General Tyre kufunguliwa muda wowote kuanzia hivi sasa.Leo wajerumani wamekabidhi shares 26% kwa serikali hivyo 100% GT iko kwa serikali ambapo balozi Ombeni Sefue alishuhudia hilo tukio.

Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anasema muda wowote wanaweza kufanya trial run wanamalizia kurekebisha mifumo ya umeme, malighafi zipo za kutosha.

Chanzo: Channel Ten habari leo
Nahisi magogo yatazidi njia ya arusha kuliko toch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiwanda cha General Tyre kufunguliwa muda wowote kuanzia hivi sasa.Leo wajerumani wamekabidhi shares 26% kwa serikali hivyo 100% GT iko kwa serikali ambapo balozi Ombeni Sefue alishuhudia hilo tukio.

Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anasema muda wowote wanaweza kufanya trial run wanamalizia kurekebisha mifumo ya umeme, malighafi zipo za kutosha.

Chanzo: Channel Ten habari leo
Waimarishe usalama tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wa area 51 haujielewi
Sawa.Ila nimesema itafika mahali mtasalimu amri tu.Sasa kwani kiwanda hakitafunguliwa,na vijana hawatapata ajira.Jamani hiki si kitu kizuri?Kiwanda kilichokuwa kimefungwa fo so long na sasa kwa juhudi zake kimefunguliwa,kwa nini tusimsifie?What is bad obout it.Please come back to your senses.Chuki binafsi zisiwafanye muwe vipofu.
 
Nakurekebisha tu Mkuu wala mimi sio wa nyodo na taarabu. Angalia nyuzi ni ya August 2015 na mpaka leo hakuna update ya kiwanda kufufuliwa.

Alafu anakuja mtu anaseme Viva Magufuli, Hongera Magufuli.

Lazima tutatiashaka na wew
Asante mkuu.Nilidhani ni taarifa mpya,sikuangalia tarehe.Again thankyou and sorry.
 
Kiwanda cha matairi lazima kitaleta hasara mbaya. Si rahisi kushinda vita kwa mchina.
Sameer East Africa walifUnga kiwanda Nairobi kwa kushindwa na mchina sokonI.
Labda tuwe na mbinu mbadala
 
Back
Top Bottom