Ngonepi
JF-Expert Member
- Jun 2, 2013
- 1,872
- 1,200
Ni barabara kubwa sana iliyonyooka inayoanzia Banana pale mbele kidogo ya Airport Dsm kuelekea maeneo ya Kitunda~Kivule mpaka Msongola!
Barabara hii imetelekezwa kwa muda mrefu sana naweza kusema toka uhuru, hasa kuanzia maeneo ya kitunda shule.
Kwa hisani yenu, uongozi wa jiji la Dsm, Tanroad, halmashauri ya jiji na wilaya ya Ilala, mbunge bwana Waitara na yeyote anayehusika, Tuwaombe mtutengenezee barabara hii!
Barabara hii wala haihitaji mtu kuvunjiwa nyumba na kulipwa kwa vile tayari wananchi walijenga nyumba zao vizuri tu mbali na hifadhi ya barabara. Mtusikie wakuu!!
Tunataabika sana wakazi wa Kivule na Msongola na kucheleweshewa maendeleo kwa sababu ya hii barabara!
Barabara hii imetelekezwa kwa muda mrefu sana naweza kusema toka uhuru, hasa kuanzia maeneo ya kitunda shule.
Kwa hisani yenu, uongozi wa jiji la Dsm, Tanroad, halmashauri ya jiji na wilaya ya Ilala, mbunge bwana Waitara na yeyote anayehusika, Tuwaombe mtutengenezee barabara hii!
Barabara hii wala haihitaji mtu kuvunjiwa nyumba na kulipwa kwa vile tayari wananchi walijenga nyumba zao vizuri tu mbali na hifadhi ya barabara. Mtusikie wakuu!!
Tunataabika sana wakazi wa Kivule na Msongola na kucheleweshewa maendeleo kwa sababu ya hii barabara!