Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Muwakilishi wenu bungeni yupo busy kuunga juhudi na sura yake ya kilevi levi
Poleni....nilipita huko jana...the road is in terrible condition kuanzia njia panda ya kitunda shule mpaka kivule mwembeni nilipoishia safari yangu...kaka katika huo mradi ukiacha hizo kata , kuna barabara kibao za hao middle class kama chang'ombe,kijitonyama,kilongawima,sokota mpaka kwa azizi ali,kijichi tuangoma na zingine kibao, hivyo tunaloona hapa ni uzembe tu wa waliokuwepo wakati wa mchakato ndio maana kata za kitunda na kivule hakuna barabara ni mahandaki.
Wanaotafuta wangejaribu kujikita kujua kwann mtu akiwa green na akili kama hupungua na hatimaye kuisha?Mwambie mbunge wenu si yule wa hesabu za bil 48 +bil 18 = bil1?
Suala la barabara hiyo ni kuwa mkandarasi aliyepewa hiyo kazi ameshindwa, na alichoamliwa ni kumaliza hilo daraja tu, mchakato wa kumtafuta mkandarasi mwingine upo, unaendelea, hayo ni maelezo ya diwani wenu kupitia tbc taifa jana!!! Kuweni wapole kwanza.kaka katika huo mradi ukiacha hizo kata , kuna barabara kibao za hao middle class kama chang'ombe,kijitonyama,kilongawima,sokota mpaka kwa azizi ali,kijichi tuangoma na zingine kibao, hivyo tunaloona hapa ni uzembe tu wa waliokuwepo wakati wa mchakato ndio maana kata za kitunda na kivule hakuna barabara ni mahandaki.
Kiujumla jimbo la ukonga halina barabara, bora huko barabara kuna upande madaraja yalishazolewa tokea mwaka jana, yaani mwaka huu kilichowasaidia ni dua zao za kuomba mvua isinyeshe ya maana na mungu amesikia kilio chaoSuala la barabara hiyo ni kuwa mkandarasi aliyepewa hiyo kazi ameshindwa, na alichoamliwa ni kumaliza hilo daraja tu, mchakato wa kumtafuta mkandarasi mwingine upo, unaendelea, hayo ni maelezo ya diwani wenu kupitia tbc taifa jana!!! Kuweni wapole kwanza.
Poleni sana nilikaa huku mwaka 2008 ni miaka 11 toka niondoke huko sikutegemea kama hii barabara ingekua bado ipo hivi ...kwani huko hakuna mwakilishi ???Ni barabara kubwa sana iliyonyooka inayoanzia Banana pale mbele kidogo ya Airport Dsm kuelekea maeneo ya Kitunda~Kivule mpaka Msongola!
Barabara hii imetelekezwa kwa muda mrefu sana naweza kusema toka uhuru, hasa kuanzia maeneo ya kitunda shule.
Kwa hisani yenu, uongozi wa jiji la Dsm, Tanroad, halmashauri ya jiji na wilaya ya Ilala, mbunge bwana Waitara na yeyote anayehusika, Tuwaombe mtutengenezee barabara hii!
Barabara hii wala haihitaji mtu kuvunjiwa nyumba na kulipwa kwa vile tayari wananchi walijenga nyumba zao vizuri tu mbali na hifadhi ya barabara. Mtusikie wakuu!!
Tunataabika sana wakazi wa Kivule na Msongola na kucheleweshewa maendeleo kwa sababu ya hii barabara!
View attachment 1079803View attachment 1079805View attachment 1079807View attachment 1079808View attachment 1079809View attachment 1079810
mwita mwikwabe anahusika hapoNi barabara kubwa sana iliyonyooka inayoanzia Banana pale mbele kidogo ya Airport Dsm kuelekea maeneo ya Kitunda~Kivule mpaka Msongola!
Barabara hii imetelekezwa kwa muda mrefu sana naweza kusema toka uhuru, hasa kuanzia maeneo ya kitunda shule.
Kwa hisani yenu, uongozi wa jiji la Dsm, Tanroad, halmashauri ya jiji na wilaya ya Ilala, mbunge bwana Waitara na yeyote anayehusika, Tuwaombe mtutengenezee barabara hii!
Barabara hii wala haihitaji mtu kuvunjiwa nyumba na kulipwa kwa vile tayari wananchi walijenga nyumba zao vizuri tu mbali na hifadhi ya barabara. Mtusikie wakuu!!
Tunataabika sana wakazi wa Kivule na Msongola na kucheleweshewa maendeleo kwa sababu ya hii barabara!
View attachment 1079803View attachment 1079805View attachment 1079807View attachment 1079808View attachment 1079809View attachment 1079810
Kivule si mnatumia Baiskeli hata Barabara zikiwa na Mahandaki hakuna shidakaka katika huo mradi ukiacha hizo kata , kuna barabara kibao za hao middle class kama chang'ombe,kijitonyama,kilongawima,sokota mpaka kwa azizi ali,kijichi tuangoma na zingine kibao, hivyo tunaloona hapa ni uzembe tu wa waliokuwepo wakati wa mchakato ndio maana kata za kitunda na kivule hakuna barabara ni mahandaki.
Wakiwa mjini wanauza mayaiHiyo kivule gani sioni baiskeli hata moja mura. Si mnasemaga nyie wote ni wanajeshi bas andamana tuone vita mura
Ule Muembe Aliukata Jamaa Kuondoa Hilo JinaWaitara ni mkaazi wa kitunda kivule kule muembeni naamini kama hajahamia masaki atakua mtumiaji wa hiyo balabala kumbukeni jamaa ni mzee wa liqid kupindukia
Usione watu tunaandika hivi hata Mie ni mhanga wa Hiyo Barabara natumia mara nyingi sana Kwa wiki lazima nipite zaidi ya mara tatu,hawa watu watakarabati siku wakijisikiaKuwa sirias hata kidogo tu bro!!
Waitara hata watoto wake wamehamishwa Zawadi Primary unategemea ye ataendelea kuwepo huko? Bar ya Vegetable haonekani.Kifupi Waitara sio mnyonge tena yaani siyo mwenzetuWaitara ni mkaazi wa kitunda kivule kule muembeni naamini kama hajahamia masaki atakua mtumiaji wa hiyo balabala kumbukeni jamaa ni mzee wa liqid kupindukia
Kumbe ndio maana umekatwaUle Muembe Aliukata Jamaa Kuondoa Hilo Jina