Ngonepi
JF-Expert Member
- Jun 2, 2013
- 1,872
- 1,200
- Thread starter
- #41
Waitara si mwanaUkonga tena, atajifanya mwana Ukonga kwa sababu ana makazi huku lakini najua kwa sasa atakuwa anaishi Masaki huko.Waitara hata watoto wake wamehamishwa Zawadi Primary unategemea ye ataendelea kuwepo huko? Bar ya Vegetable haonekani.Kifupi Waitara sio mnyonge tena yaani siyo mwenzetu
Lakini vilevile tunajua kwamba Mbunge hana hela za kutujengea barabara yeye kama yeye!! Ila juhudi zake za kulipigia kelele hili zinamaana sana!!
Wanaukonga, Kivule na Msongola woote kwa pamoja tupige kelele bila kuchoka kuikataa hali hii!!
Haiwezekani Dar hii zinajengwa barabara mpaka vichochoroni maeneo mengine lakini barabara kubwa na muhimu hii ya Kivule haijengwi kwa miaka sasa!!
Tupige kelele wanaweza kuzisikia siku moja.