Habari za mchana.
Je, serikali imejipanga vipi na ina mpango upi wa muda mrefu kwa wakazi wa Kigamboni ambao wakuwa wakipata hadha ya kuhangaika na usafiri wa kivuko Ferry takribani mwezi mmoja sasa, kivuko kinachofanya kazi ni kimoja tu MV kazi.
Ambacho kuvuka upande mmoja kwenda mwingine kinatumia takribani lisaa limoja na zaidi.
Hali ambayo inapelekea kuchelewesha shughuli za kila siku za uzalishaji mali kwa wakazi wa Kigamboni wanaofanya shughuli zao mjini.
Nikiwa kama mwananchi wa kawaida ninaomba serikali itupe jibu imejiandaaje na ina mpango gani na shughuli za uvukaji Kigamboni A.
Ahsante.
Je, serikali imejipanga vipi na ina mpango upi wa muda mrefu kwa wakazi wa Kigamboni ambao wakuwa wakipata hadha ya kuhangaika na usafiri wa kivuko Ferry takribani mwezi mmoja sasa, kivuko kinachofanya kazi ni kimoja tu MV kazi.
Ambacho kuvuka upande mmoja kwenda mwingine kinatumia takribani lisaa limoja na zaidi.
Hali ambayo inapelekea kuchelewesha shughuli za kila siku za uzalishaji mali kwa wakazi wa Kigamboni wanaofanya shughuli zao mjini.
Nikiwa kama mwananchi wa kawaida ninaomba serikali itupe jibu imejiandaaje na ina mpango gani na shughuli za uvukaji Kigamboni A.
Ahsante.