Kiumbe kinachoitwa β€˜mke’ kiogope

Tunadanganyana sana
 
Yaani huyu mwamba kila nikijisikia kucheka huwa nakuja kuusoma uzi wake 🀣🀣🀣🀣🀣

Jamaa kavurugwa hata hajui aanzie wapi kuandika
Dah aisee mi kiburi tu hawa watu kiburiiiiii
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Yaani huyu mwamba kila nikijisikia kucheka huwa nakuja kuusoma uzi wake 🀣🀣🀣🀣🀣

Jamaa kavurugwa hata hajui aanzie wapi kuandika

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kakutana na ngumi toka UKRAINE.

FUKUNYO
 
Mi niwe mkweli...kitakachonituliza ndani ni mume Mwenye kuwajibika kwa familia yake tu...ila ukishaniachia majukumu for 80% usitegemee kukuheshimu as a man
Kwa hiyo siku Mume akipata maradhi, ajali au uwezo wake wa kipato ukiwa chini, ndoa ndio hali Jojo?

Kifupi unataka tuamini kuwa unathamini mtu mwenye kitu badala ya utu?
 
Mpe matumizi mazuri
Mpe nyumba nzuri
Mpe gari nzuri
Mpe mapenzi ya kutosha
Mpe pesa ya kutosha- hata awe anakutunzia tuu impe uhakika wa maisha



Halafu Rudi utuambie kama bado ana kiburi
Yote kafanya Manara na Bado kaachwa Dubai?

Yeye atakuwa anatoa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…