General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Sijui niko peke yangu au kuna wenzangu kama mimi?
1. Mwanamke kunivalia magauni makubwa na sketi ndefu hapana aisee. Nimesha acha wengi wenye itikadi hizi...
2. Mwanamke kila wakati anasali, mara maombi, sijui kwa mchungaji gani huko hapana kwakweli. Wengi wanaokuwa na swaga hizi hatumalizi mwezi
3. Mwanamke asiyekunywa pombe, kiukweli mnisamehe sana
4. Mwanamke mwenye mipango kibao kichwani, sijui biashara, hashiki moja yeye ni mbili tumeshindwana mazeeee.
5. Mwanamke aliye serious na maisha mimi hapana. Mtu mgumu, mjuaji apotelee mbali
Ndivyo nilivyo!!
1. Mwanamke kunivalia magauni makubwa na sketi ndefu hapana aisee. Nimesha acha wengi wenye itikadi hizi...
2. Mwanamke kila wakati anasali, mara maombi, sijui kwa mchungaji gani huko hapana kwakweli. Wengi wanaokuwa na swaga hizi hatumalizi mwezi
3. Mwanamke asiyekunywa pombe, kiukweli mnisamehe sana
4. Mwanamke mwenye mipango kibao kichwani, sijui biashara, hashiki moja yeye ni mbili tumeshindwana mazeeee.
5. Mwanamke aliye serious na maisha mimi hapana. Mtu mgumu, mjuaji apotelee mbali
Ndivyo nilivyo!!