Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Vyuma vimekaza.... siku hizi wanawake ndio wanabembeleza...Mhh huu msimu si wa kuinvest kirahisi hivyo...
Zama zimebadilika.
We mwache asubiri aone kitakachomtokea...
Vyuma vimekaza.... siku hizi wanawake ndio wanabembeleza...Mhh huu msimu si wa kuinvest kirahisi hivyo...
Zama zimebadilika.
marahaba, nitafute tafadhali...Sijambo shikamoo mkuu
Eti unakuta mwanaume anakuja na kuanza mahusiano kwa kukuuliza, "eti dada unaboyfrnd?" Hivi wanaume hamjui kudeal na akili za wanawake inabidii uende unda urafiki show that you care ntoe outing, spoil the lady to the extreme alafu utaona yeye mwenyewe ndo atajiongeza na kutambua kama alikuwa na boyfrnd au laah. Usipoelewa utaelewa kesho jumapili njema wakuu