Zama zimebadilika ndugu, yaani nitoke tu vupuu nakuanza kulisha mali za watu? Haya zamani hayukufanya hivyo sembuse leo? Japo si vizuri kuanza kuuliza eti unaboyfriend? Swali hili linaboa, mwanamke akishaiva atasema mwenyewehata bila.kuulizwa.Eti unakuta mwanaume anakuja na kuanza mahusiano kwa kukuuliza, "eti dada unaboyfrnd?" Hivi wanaume hamjui kudeal na akili za wanawake inabidii uende unda urafiki show that you care ntoe outing, spoil the lady to the extreme alafu utaona yeye mwenyewe ndo atajiongeza na kutambua kama alikuwa na boyfrnd au laah. Usipoelewa utaelewa kesho jumapili njema wakuu

