Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

Ukiona unamemfahamu mwanamke anataka nini au hataki nini jua kwamba unakaribia kufa.

Kikubwa shukru, samehe, usimfuatilie angalau unaweza rukiwa na vumbi la furaha kidogo!
 
🤣🤣🤣over sharing inaponza
Wivu lzm uingie unasimulia wakato ye hana mwanaume wa hivyo na anamtamani....
Yaan ndio mnafanyiana hivyo kisa wivu tu? Sasa mfano unamuharibia mwenzio na mimi sina mpango na wala sikutaki wewe wala uvue chupi hapo sikugongi unapata faida gani labda kutibua tu mahusiano ndio furaha?
 
sameja we ushazoea kuzishika ndo maana unasema hivyo😄😄😄
Ujue nini.. nili ingia labor kushuhudia MkeWangu akijifungua..

Navyo mpenda navyo mhurumia..nikasema Sito mpa MIMBA TENA.

Sikuwai kua na mchepuko nikatafuta now ninae na wife kajua ananilaumu ku mcheat ila sababu Sito mpa MIMBA TENA mke wangu.

Watoto wawili wanatosha kwake.
 
Ujue nini.. nili ingia labor kushuhudia MkeWangu akijifungua..

Navyo mpenda navyo mhurumia..nikasema Sito mpa MIMBA TENA.

Sikuwai kua na mchepuko nikatafuta now ninae na wife kajua ananilaumu ku mcheat ila sababu Sito mpa MIMBA TENA mke wangu.

Watoto wawili wanatosha kwake.
kwanini ulicheat? what if na yeye akasema anahitaji katoto kamoja ka mwisho? alf sameja ulivyo mdogo hivyo ki umri mbona umefunga kuzalisha mapema hivyo?
 
🤣🤣🤣
Sikuhizi naogopa
Wanqsema unatoa normal flora wa huku na kupeleka huku ndo inakua madhara
Ni kweli, dental hygiene hapo ina-matter.

Kama mtu tayari akiongea tu anatoa harufu ya mdomo au amejaa cavities siyo busara kumshusha huko chini, atawahamishia hao harmful bacteria kwenye jagina.
 
Back
Top Bottom