kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Hapo kwenye vipaji umewasahau messi, Iniesta,gaucho,okocha Pogba n.k, Vipi hao shughuli zao!?Kweli tofaut mwanamuziki huwa ni kipaji na msanii huwa ni jitiada japo kwa dunia ya sasa jitiada ndio inayoitajika unaweza ukawa na kipaji ukawaboya sio tu kwenye mziki hata kwenye mambo mengine kwa mfano mpira wa miguu kuna watu kama lampad, roony, cr 7, hao wote ni jitiada zao bila kuna wakina Nani, balotel, Hinyi ni vipaj ila ovyo kabisa