yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,548
- 3,510
Ulitaka afanyeje zaidi ya hapo? Alijitahidi sana hata ulinganisha na performance za wasanii wengine. Kama wadau wengine wanavyosema kuimba huku ukicheza ni ngumu.Ipi Mkuu?
Huezi sema hajafanya vyema kiasi hicho otherwise uwe una tatizo naye