Peter Simba
Senior Member
- Nov 23, 2016
- 191
- 173
sasa wewe ni zaidi ya waliomwalika?
Siasa wewe,muziki wewe,wabongo bana,ili mradi uongee tu!Jana, kwenye tuzo za soka za Shirikisho la Soka Afrika (CAF), mwanamuziki Diamond alitumbuiza. Katika tuzo hizo zilizofanyika katika jiji la Abuja, nchini Nigeria Diamond alitumbuiza nyimbo nne. Diamond, aliyeambatana na Rayvanny na wachezaji wake wa jukwaani, hakufanya vyema.
Hayo ni maoni yangu binafsi kwa nilivyomuona. Kwanza, Diamond alionyesha jinsi asivyo na pumzi ya kutosha ya kuimba nyimbo zake jukwaani mfululizo. Pili, Diamond muda mwingi aliacha CD iimbe na yeye akiwa kimya au akiongea mambo tofauti na wimbo wake.
Kiukweli, Diamond ni mweupe na mwepesi sana jukwaani katika kutumbuiza. Diamond ana jambo la kulifanyia kazi katika kutumbuiza jukwaani. Au, aishie kurekodi nyimbo zake na aachane na show za stejini. Maana jana alijitahidi tu kujing'ata midomo yake.
tuambie kwa mtazamo wako nani ali perfom vizuri kwenye zile tuzo maana naona una mzungumiza Diamond tuu ??Jana, kwenye tuzo za soka za Shirikisho la Soka Afrika (CAF), mwanamuziki Diamond alitumbuiza. Katika tuzo hizo zilizofanyika katika jiji la Abuja, nchini Nigeria Diamond alitumbuiza nyimbo nne. Diamond, aliyeambatana na Rayvanny na wachezaji wake wa jukwaani, hakufanya vyema.
Hayo ni maoni yangu binafsi kwa nilivyomuona. Kwanza, Diamond alionyesha jinsi asivyo na pumzi ya kutosha ya kuimba nyimbo zake jukwaani mfululizo. Pili, Diamond muda mwingi aliacha CD iimbe na yeye akiwa kimya au akiongea mambo tofauti na wimbo wake.
Kiukweli, Diamond ni mweupe na mwepesi sana jukwaani katika kutumbuiza. Diamond ana jambo la kulifanyia kazi katika kutumbuiza jukwaani. Au, aishie kurekodi nyimbo zake na aachane na show za stejini. Maana jana alijitahidi tu kujing'ata midomo yake.
If you want to offer the constructive advice then use a constructive language otherwise be prepared to receive the rhetoric answer.Haaaaah hili ndio tatizo kuu kwa Maendeleo ya Taifa hili.
Hivi unaufahamu mtandao wa Rotten Tomato na kazi zake?
Acheni ushabiki wa ajabu watu wanapotoa mawazo constructive, hizo team zenu zisizo taka kukosolewa ziishie INSTAGRAM.
Mkuu nikupe hongera umejitahidi kuchambua "kwa uwezo wako" ila jua kwamba umechemka mno.Jana, kwenye tuzo za soka za Shirikisho la Soka Afrika (CAF), mwanamuziki Diamond alitumbuiza. Katika tuzo hizo zilizofanyika katika jiji la Abuja, nchini Nigeria Diamond alitumbuiza nyimbo nne. Diamond, aliyeambatana na Rayvanny na wachezaji wake wa jukwaani, hakufanya vyema.
Hayo ni maoni yangu binafsi kwa nilivyomuona. Kwanza, Diamond alionyesha jinsi asivyo na pumzi ya kutosha ya kuimba nyimbo zake jukwaani mfululizo. Pili, Diamond muda mwingi aliacha CD iimbe na yeye akiwa kimya au akiongea mambo tofauti na wimbo wake.
Kiukweli, Diamond ni mweupe na mwepesi sana jukwaani katika kutumbuiza. Diamond ana jambo la kulifanyia kazi katika kutumbuiza jukwaani. Au, aishie kurekodi nyimbo zake na aachane na show za stejini. Maana jana alijitahidi tu kujing'ata midomo yake.
Kuna siku aliimba live utafikiri babu tale ndio anaeimba
Ni kazi ngumu sana kuimba na kucheza kwa pamoja,Nani anaweza kukimbia uku akiongea? Kama unaweza kukimbia na kuongea wakati mmoja,utakua sahihi kumkosoa Diamond.
Kucheza awaachie kina Iyobo ajikite zaidi kwenye kuimbaBasi hujui ugumu wa kuimba na kucheza!
Solution jamaa afanye mazoezi zaidi na acheze kidogo aimbe kwa sana.ok next time unataka nani mzitona mweusi aende? sio kulalama tu toa solution
Msinikumbushe machungu ya sweetheart wangu jamani... Jamaa alikuwa nyokolost jukwaani...Hahaha
Huyu alikuwa ndio king of pop
Jamaa alikuwa ana kila tabia ya performer mzuri
The greatest ever
Huelewi chochote kuhusu live performance ndugu....Hata hivo sku hizi ka improve zamani ilikuwa worse.
Siyo rahis kuimba na kucheza live we jamaa unless hujawahi imba.
Tafuta show za lady gaga alizo imba na kucheza live uone ni mbaya, na mostly wenzetu huwa wana hakikisha aki imba na kucheza ni 35% tuu ya wimbo ndio ataimba live otherwise cd itafajya kazi yake.
*unakumbuka fiesta wasanii waliimba live tu bila kucheza lakini ilibidi irudshwe CD, sio rahisi guys kama mnavo fikiri, though nakubali diamond anahitaji mazoez zaidi