Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Fikiria suala dogo kama kupeleka maji kwenye mji mdogo wa Katoro ambao upo jirani na ziwa Victoria nalo linahitaji waziri wa maji kupigiwa simu. Huu ni uzembe wa serikali ilyopo madarakani wala sio sifa kwa Makonda kupiga simu.
Suala dogo la dhuluma kwa wananchi ambalo kwa serikali makini hata mtendaji wa kata tu anaweza kulitatua lakini eti mpaka Makonda amwinue mkuu wa wilaya!
Hii ni kudhihilisha wazi kuwa mama Samia na serikali yake wameshindwa kutatua kero za wananchi kama inavyotakiwq kwa kutumia viongozi wenye dhamana hizo.
Suala dogo la dhuluma kwa wananchi ambalo kwa serikali makini hata mtendaji wa kata tu anaweza kulitatua lakini eti mpaka Makonda amwinue mkuu wa wilaya!
Hii ni kudhihilisha wazi kuwa mama Samia na serikali yake wameshindwa kutatua kero za wananchi kama inavyotakiwq kwa kutumia viongozi wenye dhamana hizo.