Kiu ya mwanaumme kwa binti ni…

Inategemea mtu na mtu, kuna waliooa na wasiooa, kuna wasiooa lkn wanawapenzi wao na kunawasiooa na hawana wapenzi, mimi sijaoa na sina mpenzi, Kiu yungu ni UCHIIIIIII!!!
 
Wanamme wako tofauti sana na wanawake

Mwanamme anatizama mwili, physical things, tayari anamvua na nguo hapo hapo wakati wanasalimiana
Tayari anawaza kugema asali. Ndo maana utaona sifa anazotoa mwanamme ni napenda macho yako, lips, shape n.k

Mwanamke anamtizama mwanamme kwa undani (inside things-sijui ni sahihi nikisema tabia/vijisifa)
Ndio maana comment za wanawake utakuwa 'wewe ni gentleman' n.k
Ni mara chache mnakutana mara ya kwanza mwanamke anakuambia uko handsome.

Mwanamme anataka VVVVVV

hapo kwenye bold konnie ni nini hiyo?
 
hahaha ruta umewaza nn? mm sifahamu kiu ya mwanamme kama n utii wa binti ,mbona kuna wanaume wanapelekeshwa na wanawake humu na bado wana wang'ang'ania , mm nadhani kiu yao n muonekano na mvuto wa mwanamke alivyo kama na quality gani na aki walk nae mitaan watu watamsifia una chombo ,na ilo la uchi sijui

Sidhani kama kusifiwa inakuwa mara kwa mara kama utii especially kama mmefunga pingu za maisha. Ndo maana unaona kuna ndoa nyingi tu ambazo technically hazipo kama ndoa ila zinaenda ili siku nazo zisogee kwasababu communication is not in the same level for the two couples....
 
hahaha ruta umewaza nn? mm sifahamu kiu ya mwanamme kama n utii wa binti ,mbona kuna wanaume wanapelekeshwa na wanawake humu na bado wana wang'ang'ania , mm nadhani kiu yao n muonekano na mvuto wa mwanamke alivyo kama na quality gani na aki walk nae mitaan watu watamsifia una chombo ,na ilo la uchi sijui
Utii we acha tu, sababu ya utii unaweza kuona anapelekeshwa kumbe yeye analipa fadhira kwa waifu wake mtiifu kisawasawa.
 
"Zidumu fikra za mwenyekiti"
[MENTION]
tabibumtaratibu[/MENTION]............zidumu fikra sahihi za mwenyekiti........siyo kila fikra zake.....................hapana.......
 
lolyz.................mwanaumme anataka akubalike hata kama ni changu doa anamfukuzia..............na kukubalika ndiyo utii wenyewe kwamba anachotaka anatimiziwa......................kwa hiyo bakora zikicharazwa basi yeye huondoka kafurahia kuwa kumbe fulani anamkubali na ndiyo maana ametii kiu yake ya kuheshimika na kukubalika...........

Mkuu unafurahisha kweli.
Kwahiyo mtu mzima wewe ukiamua "kubaka" tukupongeze kwakuwa unataka utii, ha haaa, na ile mijamaa mingine inayokula wototo wao kumbe utii ndo shida yao enh?
Mkuu unapofanya tafiti usisahau hata vichaa wanaume wapo, sasa sijui nao shida yao nini, think deep.
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma:kama kweli ni utii na wale wanaofata mabint kule corner bar hao wanafataga utii?
@lolyz my dada, kuna exception wa wanaokosa maadili (Na wengine ambao hawapati confidence toka kwa wake zao na hudhani conquring many women kutawaletea heshima).

Ila ukijisubmit na kujicomit kwa mmeo hata kama atatoka nje ya ndoa uhusiano wa nje hautaota mizizi kamwe kwa sababu mizizi yake ilishaota nyumbani siku nyingi. (Don't you just love it when he comes back because no woman could give him what you gave him?)

No man with right mind will leave gold at home and chase after copper, however much that copper glitters. At least when he goes he will come back- where your treasure is there your heart will be. Trust me on that!
 
lolyz my dada, kuna exception wa wanaokosa maadili (Na wengine ambao hawapati confidence toka kwa wake zao na hudhani conquring many women kutawaletea heshima).

Ila ukijisubmit na kujicomit kwa mmeo hata kama atatoka nje ya ndoa uhusiano wa nje hautaota mizizi kamwe kwa sababu mizizi yake ilishaota nyumbani siku nyingi. (Don't you just love it when he comes back because no woman could give him what you gave him?)

No man with right mind will leave gold at home and chase after copper, however much that copper glitters. At least when he goes he will come back- where your treasure is there your heart will be. Trust me on that!

PetCash...........ukiona ana mizunguko nje isiyo na mwisho ujue ana shida ya kuona ndani kwake hathaminiwi labda anakosolewa sana au anaona hapewi utii wa kutosha kwa hiyo jibu huenda nje kuutafuta ili atulize kiu ya kuona anpewa heshima ya utii..................na bakora huw ndiyo kipimo cha mwisho cha utii.........
 
Last edited by a moderator:
Mkuu unafurahisha kweli.
Kwahiyo mtu mzima wewe ukiamua "kubaka" tukupongeze kwakuwa unataka utii, ha haaa, na ile mijamaa mingine inayokula wototo wao kumbe utii ndo shida yao enh?
Mkuu unapofanya tafiti usisahau hata vichaa ni wanaume sasa sijui nao shida yao nini, think deep.

Tiger.........unanionea mie sijasema hivyo. Anayebaka pia ana kiu ya kukubalika ila yabidi tuhoji kama njia za mabavu anazozitumia ni sahihi. Ukifuatilia sana utaona ya kuwa hawa wabakaji jamii huwa imewatema na hawana njia ya amani ya kutafuta kukubalika..................kiu ya kukubalika ni kali sana yaweza hata kusababisha mauti ya watu wengi.............we all crave to be desired and feel important and nothing satisfies us beyond than when we feel respected and submission is the pinnacle of that.
 
Last edited by a moderator:
Na inapotokea mwanamume "hamtii" binti?
Kwa kuwa kitenzi kutii unapokifanya kuwa kutendana kinakuwa "kuti(i)ana",
Kwa hivyo mi nahisi wote wanahitaji kitu kimoja tu, "kutiana".
 
Utii we acha tu, sababu ya utii unaweza kuona anapelekeshwa kumbe yeye analipa fadhira kwa waifu wake mtiifu kisawasawa.

sas kweli Kyaiyembe inabidi nikuvulie kofia wewe ni mtaalamu wa haya masuala................utakuta watu wanasema mke kamtawala kumbe utii wake unamfanya mumewe amheshimu sana..........
 
Last edited by a moderator:
Na inapotokea mwanamume "hamtii" binti?
Kitenzi kutii unapokifanya kuwa kutendana kinakuwa "kuti(i)ana".
Kwa hivyo mi nahisi wote wanahitaji kitu kimoja tu, "kutiana".

MAMMAMIA......umenichekesha sana...mie bado ninasisitiza utiiwa binti ni muhimu ili kidume ampende.......kiu ya binti ni kupendwa tu.............
 
Last edited by a moderator:
Sidhani kama kusifiwa inakuwa mara kwa mara kama utii especially kama mmefunga pingu za maisha. Ndo maana unaona kuna ndoa nyingi tu ambazo technically hazipo kama ndoa ila zinaenda ili siku nazo zisogee kwasababu communication is not in the same level for the two couples....

Ndahani uko sahihi kabisa.......sifa za watu baki haziwezi kumfanya mwanaumme avimbe kichwa na avumilie kijike ambaye anamdharau.........
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli nimeipenda hii kama ni uchi hata changudoa wanatoa huduma hiyo vizuri tena bila garama kubwa, tena viwango na masharti yanazingatiwa
 
Kwa kweli nimeipenda hii kama ni uchi hata changudoa wanatoa huduma hiyo vizuri tena bila garama kubwa, tena viwango na masharti yanazingatiwa
[MENTION]
Lyangalo[/MENTION]..............la ajabu wanaohusika na hii mada akina dada wengi wao wameingia mitini....hawataki kuwa watii lakini wanataka wapendwe sasa haya yatawezekana wapi?
 
Back
Top Bottom