Kituo cha TV cha Diamond Platnumz

Kituo cha TV cha Diamond Platnumz

Labda alimaanisha tivii ya kupigia ramli...
 
tutakizundua tu hicho kitu sema mambo hayajakamilika kidoooogooo yameingiliana

Mngetujuza basi ilo maana mmekaa kimya kama hamkuaidi kitu wakati tulikuwa twasubir kuwa tunamuona zari vizur humo
 
Jamani nawauliza mashabiki wa domo kituo chake cha TV kimeishia WAP maana alitangaza atakizindua tarehe 1/5/15 mpaka leo natafuta channel ya kituo sipat or kisubusi changu chanidanganya????????

Alitamka Diamond mwenyewe au mashabiki wake? Na kuna mtu kazungumzia Private Jet, je kasema hivyo Diamond mwenyewe au mashabiki? Namfuatilia Dangote ktk Instagram vizuri kabisa sijaona hizo post-feeds!!
 
Jamani nawauliza mashabiki wa domo kituo chake cha TV kimeishia WAP maana alitangaza atakizindua tarehe 1/5/15 mpaka leo natafuta channel ya kituo sipat or kisubusi changu chanidanganya????????
Mimi ninapenda kitu kimoja kutoka kwenu MUNAZIJUA NA KUZIFUATILIA HABARI ZAKE VIZURI SANA halafu munadanganya watu kuwa eti hamumpendi wakati vinjwani mwenu kuna Diamond
 
Mimi ninapenda kitu kimoja kutoka kwenu MUNAZIJUA NA KUZIFUATILIA HABARI ZAKE VIZURI SANA halafu munadanganya watu kuwa eti hamumpendi wakati vinjwani mwenu kuna Diamond

Kunasehemu nimeandika simpend diamond au macho yako yanamakengeza embu nambie nilipo andika simpend????
Ingekuwa vizur ujibu swali LA TV station na sio abari za kupendana or kutopendana????
 
Jamani nawauliza mashabiki wa domo kituo chake cha TV kimeishia WAP maana alitangaza atakizindua tarehe 1/5/15 mpaka leo natafuta channel ya kituo sipat or kisubusi changu chanidanganya????????

Kunasehemu nimeandika simpend diamond au macho yako yanamakengeza embu nambie nilipo andika simpend????
Ingekuwa vizur ujibu swali LA TV station na sio abari za kupendana or kutopendana????
Umeona hapo NILIPO-BOLD maana yake wewe umejitoa na hilo neno linatumika kutuniza kitu usichokipenda (rejea kiswahili )
 
Sasa wewe antena yako miiba ya samaki hiyo TV utaiyona kweli?
 
Unajua nn me nilijua izi ni mbwembe tu maana namjua domo kila anachofanya anatakaga dunia ijue gafla tu aseme anazindua?????
Wakati kwa tabia yake kuanzia siku ananunua kamera angeanza kutangaza.

Hilo nalo nene....heheheeeee mzee wa show off... angefanya kuonyesh kila kitu b4 uhuhuuuhuuuuuu kama ilivyo akinunua boxer anapiga picha...tehe tehee. Mimi hamna kitu wala nguo za domo nisizozijua.
 
Nipo humu toka mwaka Jana ndugu majungu Yangu nn kuuliza ndo majungu

Ata kama ungekuwa na masaa humu inahuuuuuuuuuu? Ebu wakuache ukweli uwe wazi......humu ni uhuru wa kuongea eboooh....
WAPI TV STATION hahahaaaaaaaaa
Team domo hawapendi kuambiwa ukweli.
Vaaa helmet topr
 
Last edited by a moderator:
Alitamka Diamond mwenyewe au mashabiki wake? Na kuna mtu kazungumzia Private Jet, je kasema hivyo Diamond mwenyewe au mashabiki? Namfuatilia Dangote ktk Instagram vizuri kabisa sijaona hizo post-feeds!!
Wenye wivu wa nyoka wanamwonea hajawahi tamka hivyo. Nyumba yenyewe ndio kamaliza Jana Wanamkibiza kwenye ndege. Wanamuwaisha mno kijana
 
Usiwe na wasi kama anampango huo na hajabadili kitakuja. Ila si unajua ana project nyingi pembeni ya muziki so lazima anaweka vya muhimu na vya kuzalisha mapema vizuri kwanza kama kawaida yake.

Kutokusema kitu juu ya ilo ni kwamba haimaanishi hajui anachofanya.
 
Jamani nawauliza mashabiki wa domo kituo chake cha TV kimeishia WAP maana alitangaza atakizindua tarehe 1/5/15 mpaka leo natafuta channel ya kituo sipat or kisubusi changu chanidanganya????????

ImageUploadedByJamiiForums1431507380.918824.jpg

TV hii hapa tune chanel 287 kwenye diesitiviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom