Jamani nawauliza mashabiki wa domo kituo chake cha TV kimeishia WAP maana alitangaza atakizindua tarehe 1/5/15 mpaka leo natafuta channel ya kituo sipat or kisubusi changu chanidanganya????????
Hahahahahaaa you made my day for sure! Hapa hutamuona hata mmoja, ila ungeweka kuhusu Kiba tu ungekoma!
Jamani nawauliza mashabiki wa domo kituo chake cha TV kimeishia WAP maana alitangaza atakizindua tarehe 1/5/15 mpaka leo natafuta channel ya kituo sipat or kisubusi changu chanidanganya????????[/QUOTE
Dogo amekua na mambo ya kike sana siku hizi
Wapo wapi team domo?
Jamani nawauliza mashabiki wa domo kituo chake cha TV kimeishia WAP maana alitangaza atakizindua tarehe 1/5/15 mpaka leo natafuta channel ya kituo sipat or kisubusi changu chanidanganya????????
wewe mwenzio alimaanisha vitu viwili..
1. Reality TV SHOW
2: All white party online TV via Code..
upo hapo? haya futa uzi fasta