Hakuna haja ya kuwagusa kama ina maana ya kuwaondoa
Ila ipo haja ya kutengeneza mfumo mzuri wa wao kuwepo kwa manufaa ya wote
Mfumo mzuri ni ndani ya stand ya basi kuwe na mabasi na ofisi za tiketi za mabasi ndo maana ikaitwa stand ya mabasi. Huduma nyingine ziwe nje ya stand.
Sasa na wachungaji nao wakitaka kuja hapo kutafutwe utaratibu? Mama ntilie? Shoe shinners? Watu wa network marketing? Woote watafutiwe utaratibu?
Huwezi tengeneza kitanda kisha ukatafuta utaratibu mzuri wa kulala na mabeseni yaliyojaa maji, kuna siku utalowa. Wawaache tu ili hatua zikichukuliwa ieleweke.
Kuna mkoa nipo watu wamefunga barabara ya lami kwa nyanya na vitunguu.