Kituo cha ITV, kwa hili nimewashusha

Hio habari nimeiona Aljazera na pia Focus on Africa jana usiku wamerusha, Hio public gathering ya huko beach kwa kweli ni Aibu sikutegemea watu waende vile tena bila tahadhari kweli swala la elimu tz bado sana yani wanaambiwa korona tumeishinda na wao wanalibeba ivo ivo? By the way mimi sinaga muda na iyo station ikifika saa mbili asubuhi na tune direct aljazera au France24hours sina muda na local stations mana wameamua kunajisi taaluma zao , Nikitaka Habari za nchi najua JF ni kila kitu ntakuwa updated tu ila sio kutegemea media zenu izi mana wana filter sana habari
Mimi nimpenzi pia wa fox news, CNN, MSNBC and NBC na Bloomberg hizi station bana wakiwepo political analysts au economists haswa Bloomberg wanamchambua Potus utapenda wako very open and they dont scare mpaka trump anakujaga kulia lia Twitter
Kuna vitu vinapaswa kuwa ndio jicho la serikali yetu pia mfano media
 
Duh! Mbaya sana hiyo.
 
Jaman sasa hv n wakat wa kusifu na kuabudu ok!hatutaki kuwacklza hawa wanaotumwa na mabeberu
 
Uko sahihi bro. Wengi hapa tunaandika na kuji mwambafai nyuma ya keyboard. Lakini kwenye uhalisia nasi tuna watoto tunasomesha, tusingependa kuona wakiteseka kwa maamuzi yetu mabaya. Joyce na timu yake hawezi kurusha habari inayohusu Corona wakati mwenye nchi yake hataki kusikia habari hiyo. Kumbuka tu kwamba balozi mdogo wa Marekani kaitwa kwenda kujitetea kwa nini katoa waraka wa corona bila kuwasiliana na serikali ya nchi anayohudumu!
 
Uliendelea kuangalia kupitia channel nyingine juu ya hiyo habari?

Hakukua na faults yoyote iliyopelekea ikawa disconnected!
 
Nakumbuka kisa cha marehemu Mengi kupondwa mawe yeye na Spencer Lameck. Kisa kwanini alitoa Airtime kwa Lowassa sawa na mgombea wa Ccm !!. Na baadaye nakumbuka walipigwa fine ya 10m kutangaza uhalisia wa migogoro ya wafugaji na wakulima .
 
😀Gangwe,huu msamiati wa zamani kidogo nadhani kuna baadhi ya watu hawatauelewa humu...
 
Nilikua nafatilia mkuu,,,walikata Ila fasta nikaenda kwenye Chanel ya Al-Jazeera nikaona hiyo news!..,,,HAKUNA UHURU.WA.HABARI,,,WOTE LAZIMA WASIFU NA KUABUDU
 
Uliendelea kuangalia kupitia channel nyingine juu ya hiyo habari?

Hakukua na faults yoyote iliyopelekea ikawa disconnected!
Mzee mi mwenyewe nilikuwa naangalia, Ila nikasema labda ni coincidence tu, Ila ilipofika Al Jazeera wanarudia habari kwa kifupi, walipofikia ya Tanzania walikatisha tena
 
Mpuuze huyo, analeta ukabila, kuishiwa hoja na ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…