Kituo cha ITV, kwa hili nimewashusha

Kituo cha ITV, kwa hili nimewashusha

Hio habari nimeiona Aljazera na pia Focus on Africa jana usiku wamerusha, Hio public gathering ya huko beach kwa kweli ni Aibu sikutegemea watu waende vile tena bila tahadhari kweli swala la elimu tz bado sana yani wanaambiwa korona tumeishinda na wao wanalibeba ivo ivo? By the way mimi sinaga muda na iyo station ikifika saa mbili asubuhi na tune direct aljazera au France24hours sina muda na local stations mana wameamua kunajisi taaluma zao , Nikitaka Habari za nchi najua JF ni kila kitu ntakuwa updated tu ila sio kutegemea media zenu izi mana wana filter sana habari
Mimi nimpenzi pia wa fox news, CNN, MSNBC and NBC na Bloomberg hizi station bana wakiwepo political analysts au economists haswa Bloomberg wanamchambua Potus utapenda wako very open and they dont scare mpaka trump anakujaga kulia lia Twitter
Kuna vitu vinapaswa kuwa ndio jicho la serikali yetu pia mfano media
 
Habari zenu wakuu,

Hii Chanel ya ITV inakuwaga na utaratibu wa kurusha matangazo kutoka katika vyombo vya habari vya kimataifa Kama Aljazeera na DW.

Na katika habari kuu za leeo za Aljazeera mojawapo ilikuwa Kuhusu Tanzania na Corona. Cha kushangaza habari zingine zikarushwa lakini ilipofika Ile habari ya Tanzania wakakatisha habari ya Aljazeera na kuweka matangazo ya Isidingo halafu wakarudisha Tena Aljazeera baada ya Ile habari ya Tanzania kupita.

Kweli ITV mmefikia kiwango cha kuwa waoga namna hii kukataa raia wasione vyombo vya nje vinavyoizungumzia Tanzania?

Joyce Mhavile, Mkurugenzi wa ITV radio one angalia hili mama. Mnapoteza uaminifu na mvuto wenu kwa Watanzania.
Duh! Mbaya sana hiyo.
 
Joisi ana familia mkuu, ana watoto na anasomesha. Asipofanya hivyo anajua atapambana na ada za watoto bila mafanikio, kukaa bila kazi kunauma mkuu! Kuishi ni kuchanga karata tu, ukizubaa na kujifanya gangwe utavuna magalasa. Msamehe dada wa watu tu na muhurumie alee watoto wake.
Uko sahihi bro. Wengi hapa tunaandika na kuji mwambafai nyuma ya keyboard. Lakini kwenye uhalisia nasi tuna watoto tunasomesha, tusingependa kuona wakiteseka kwa maamuzi yetu mabaya. Joyce na timu yake hawezi kurusha habari inayohusu Corona wakati mwenye nchi yake hataki kusikia habari hiyo. Kumbuka tu kwamba balozi mdogo wa Marekani kaitwa kwenda kujitetea kwa nini katoa waraka wa corona bila kuwasiliana na serikali ya nchi anayohudumu!
 
Habari zenu wakuu,

Hii Chanel ya ITV inakuwaga na utaratibu wa kurusha matangazo kutoka katika vyombo vya habari vya kimataifa Kama Aljazeera na DW.

Na katika habari kuu za leeo za Aljazeera mojawapo ilikuwa Kuhusu Tanzania na Corona. Cha kushangaza habari zingine zikarushwa lakini ilipofika Ile habari ya Tanzania wakakatisha habari ya Aljazeera na kuweka matangazo ya Isidingo halafu wakarudisha Tena Aljazeera baada ya Ile habari ya Tanzania kupita.

Kweli ITV mmefikia kiwango cha kuwa waoga namna hii kukataa raia wasione vyombo vya nje vinavyoizungumzia Tanzania?

Joyce Mhavile, Mkurugenzi wa ITV radio one angalia hili mama. Mnapoteza uaminifu na mvuto wenu kwa Watanzania.
Uliendelea kuangalia kupitia channel nyingine juu ya hiyo habari?

Hakukua na faults yoyote iliyopelekea ikawa disconnected!
 
Uko sahihi bro. Wengi hapa tunaandika na kuji mwambafai nyuma ya keyboard. Lakini kwenye uhalisia nasi tuna watoto tunasomesha, tusingependa kuona wakiteseka kwa maamuzi yetu mabaya. Joyce na timu yake hawezi kurusha habari inayohusu Corona wakati mwenye nchi yake hataki kusikia habari hiyo. Kumbuka tu kwamba balozi mdogo wa Marekani kaitwa kwenda kujitetea kwa nini katoa waraka wa corona bila kuwasiliana na serikali ya nchi anayohudumu!
Nakumbuka kisa cha marehemu Mengi kupondwa mawe yeye na Spencer Lameck. Kisa kwanini alitoa Airtime kwa Lowassa sawa na mgombea wa Ccm !!. Na baadaye nakumbuka walipigwa fine ya 10m kutangaza uhalisia wa migogoro ya wafugaji na wakulima .
 
Joisi ana familia mkuu, ana watoto na anasomesha. Asipofanya hivyo anajua atapambana na ada za watoto bila mafanikio, kukaa bila kazi kunauma mkuu! Kuishi ni kuchanga karata tu, ukizubaa na kujifanya gangwe utavuna magalasa. Msamehe dada wa watu tu na muhurumie alee watoto wake.
😀Gangwe,huu msamiati wa zamani kidogo nadhani kuna baadhi ya watu hawatauelewa humu...
 
Nilikua nafatilia mkuu,,,walikata Ila fasta nikaenda kwenye Chanel ya Al-Jazeera nikaona hiyo news!..,,,HAKUNA UHURU.WA.HABARI,,,WOTE LAZIMA WASIFU NA KUABUDU
 
Uliendelea kuangalia kupitia channel nyingine juu ya hiyo habari?

Hakukua na faults yoyote iliyopelekea ikawa disconnected!
Mzee mi mwenyewe nilikuwa naangalia, Ila nikasema labda ni coincidence tu, Ila ilipofika Al Jazeera wanarudia habari kwa kifupi, walipofikia ya Tanzania walikatisha tena
 
Back
Top Bottom