Kituo cha ITV, kwa hili nimewashusha

Kituo cha ITV, kwa hili nimewashusha

Tatizo la Chadema mnataka TV zitangaze taharuki na habari za kukosoa na kuichafua serikali halali!

Hiyo haiwezekani jamani! Fungua TV yako, mlianza kuikataa TBC, mkaja Star TV, mkasema TV station ya maana Ni ITV pekee, Leo mmeona haifai kwa sababu haitangazi vifo vya maelfu ya watu vinavyosemwa na kigogo!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu,

Hii Chanel ya ITV inakuwaga na utaratibu wa kurusha matangazo kutoka katika vyombo vya habari vya kimataifa Kama Aljazeera na DW.

Na katika habari kuu za leeo za Aljazeera mojawapo ilikuwa Kuhusu Tanzania na Corona. Cha kushangaza habari zingine zikarushwa lakini ilipofika Ile habari ya Tanzania wakakatisha habari ya Aljazeera na kuweka matangazo ya Isidingo halafu wakarudisha Tena Aljazeera baada ya Ile habari ya Tanzania kupita.

Kweli ITV mmefikia kiwango cha kuwa waoga namna hii kukataa raia wasione vyombo vya nje vinavyoizungumzia Tanzania?

Joyce Mhavile, Mkurugenzi wa ITV radio one angalia hili mama. Mnapoteza uaminifu na mvuto wenu kwa Watanzania.
Mpaka sasa ITV ndiyo super brand kwa east and central africa wengine wote wababaishaji tuu
 
ITV bana, walikuwa wanejiunga na Al Jazeera saw sita mchana, Sasa Aljazeera walipokuwa wakitangaza habari za Tanzania kuhusu Corona, nikashangaa ITV wakakatiza na kuweka matangazo Hadi habari ile ikaisha kisha wakarudi Tena Aljazeera ikaendelea

Nikadhani kwanza ni coincidence tu, Ila baadae Al Jazeera walipokuwa wakitangaza habari kwa kifupi walipofikia sehemu ya Tz wakakatisha tena

Huu ni ushamba wa hali ya juu sana, yaani karne hii ya mawasiliano Kila mahali nyie mnaziba habari kijinga hivyo?
 
Tushazoea manake tangu siku mingiii kituo cha radio "Radio One" huwa wanakatiza habari za BBC swahili asubuhi ama jioni endapo inajadiliwa mada ihusuyo Tanzania.
 
ITV bana, walikuwa wanejiunga na Al Jazeera saw sita mchana, Sasa Aljazeera walipokuwa wakitangaza habari za Tanzania kuhusu Corona, nikashangaa ITV wakakatiza na kuweka matangazo Hadi habari ile ikaisha kisha wakarudi Tena Aljazeera ikaendelea

Nikadhani kwanza ni coincidence tu, Ila baadae Al Jazeera walipokuwa wakitangaza habari kwa kifupi walipofikia sehemu ya Tz wakakatisha tena

Huu ni ushamba wa hali ya juu sana, yaani karne hii ya mawasiliano Kila mahali nyie mnaziba habari kijinga hivyo?
Hao wapuuzi kabisa siku walikatisha matangazo ya BBC ilipokuwa inaongelea namna tulivyodanganya kuhusu vipimo feki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ITV bana, walikuwa wanejiunga na Al Jazeera saw sita mchana, Sasa Aljazeera walipokuwa wakitangaza habari za Tanzania kuhusu Corona, nikashangaa ITV wakakatiza na kuweka matangazo Hadi habari ile ikaisha kisha wakarudi Tena Aljazeera ikaendelea

Nikadhani kwanza ni coincidence tu, Ila baadae Al Jazeera walipokuwa wakitangaza habari kwa kifupi walipofikia sehemu ya Tz wakakatisha tena

Huu ni ushamba wa hali ya juu sana, yaani karne hii ya mawasiliano Kila mahali nyie mnaziba habari kijinga hivyo?
Yote ni ili kumfurahisha kiongozi ajae wa malaika huko mbinguni.
 
Watu Wa kanda ya nyonyo hawatakiwi kupewa nchi, wana ushamba mwingi wizi ubabe, utendaji zero, exposures zero.
Mnatakiwa mjifunze.
Wewe mjanja unaengozwa na mshamba huoni ni mshamba zaidi ya yule anaekuongoza!

Wewe mwenye exposure, mjanja unamwongoza nani zaidi ya familia yako?!

Mjanja ukikubali kuongozwa na mshamba ujue wewe ndio bonge la shamba!

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
Wewe mjanja unaengozwa na mshamba huoni ni mshamba zaidi ya yule anaekuongoza!

Wewe mwenye exposure, mjanja unamwongoza nani zaidi ya familia yako?!

Mjanja ukikubali kuongozwa na mshamba ujue wewe ndio bonge la shamba!

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
Hata Hitler so aliongoza watu?
Hata James Delicious an group LA watu anaowaongoza.
Point zako ni mfu.
Mataga huna point
 
Habari zenu wakuu,

Hii Chanel ya ITV inakuwaga na utaratibu wa kurusha matangazo kutoka katika vyombo vya habari vya kimataifa Kama Aljazeera na DW.

Na katika habari kuu za leeo za Aljazeera mojawapo ilikuwa Kuhusu Tanzania na Corona. Cha kushangaza habari zingine zikarushwa lakini ilipofika Ile habari ya Tanzania wakakatisha habari ya Aljazeera na kuweka matangazo ya Isidingo halafu wakarudisha Tena Aljazeera baada ya Ile habari ya Tanzania kupita.

Kweli ITV mmefikia kiwango cha kuwa waoga namna hii kukataa raia wasione vyombo vya nje vinavyoizungumzia Tanzania?

Joyce Mhavile, Mkurugenzi wa ITV radio one angalia hili mama. Mnapoteza uaminifu na mvuto wenu kwa Watanzania.
Dawa ni kuwaripoti kwa hao (international TV's) waounganishwa nao ili wapigwe chini
 
Back
Top Bottom