Huree!!!!!!!, ina maana the so called information age haijafika Tanzania? Au ndiyo yale mambo ya kuogopa wakubwa!! Ila hii ni kali.....
Najaribu kufikiria gia ya namna gani mtuanaweza kuitumjia kuingilia pale Ikulu halafu akawa Kibosile mmoja hivi wa Ikulu. Ila huyu kakamatwa tu kwani wapo wengine wanaojiita "maafisa wa Usalama" wanapita na kutengeneza deals kila kukicha.
Aidha mwenyekiti huyo alilalamika kuwa alilazimika kuwaita madiwani siku ya Jumamosi ili wakutane na kiongozi huyo,ambaye alitoa maelekezo ya kutaka watumishi wa idara ya afya kulipwa stahili zao haraka baada ya kupokea malalamiko ya kutolipwa kila alipopita.
yaani kuna vitu vingine lazima uamini tu kuwa "vinawezekana Tanzania tu".. ila ningependa kuiona hata picha yake jamaa lazima atakuwa amekaa "kibosi bosi tu".. unaijua ukisoma hii habari pole pole unaweza kujikuta unashangazwa na uwezo wa watu wetu wengine kuhoji au namna ya kutafuta majibu.
yaani kuna vitu vingine lazima uamini tu kuwa "vinawezekana Tanzania tu".. ila ningependa kuiona hata picha yake jamaa lazima atakuwa amekaa "kibosi bosi tu".. unaijua ukisoma hii habari pole pole unaweza kujikuta unashangazwa na uwezo wa watu wetu wengine kuhoji au namna ya kutafuta majibu.
Mwanakijiji usishangae sana kama tunakuwa na rais mwizi unategemea huko chini watafanya nini kama sio kuendeleza umburukenge.
Mafisadi wanalindwa, walikuja na ngonjera mpya ya magamba sasa sijui wataleta mpya ipi? Ngoja kwanza wajilipe na hii Dowans mpya inayokuja kwa njia za kiubabaishaji.
yaani kuna vitu vingine lazima uamini tu kuwa "vinawezekana Tanzania tu".. ila ningependa kuiona hata picha yake jamaa lazima atakuwa amekaa "kibosi bosi tu".. unaijua ukisoma hii habari pole pole unaweza kujikuta unashangazwa na uwezo wa watu wetu wengine kuhoji au namna ya kutafuta majibu.
Siku tatu jamaa anakula bata tu na akaondoka na point tatu muhimu? Hii ni hatari, hivi hawa wanaojifanya sijui intelijensia pindi tu kunapokuwa na mkusanyiko wa cdm wapo wapi? Binafsi na mpongeza huyu jama! Huyu na mfananisha na Michael Scoff au Matt Damon!! Ningependa ajitokeze tu hata kupitia jf atujuze namna alivyo waingiza shule hao wanyarwanda wa tz na vilaza wao usalama wa ccm.