Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
huyo lazima atakuwa mkiziba.
maana hapa mtaa kwangu kuna jamaa mkiziba fulani ukiwa unamdai anakwambia yuko Kempisky (au sehemu yoyote maarufu) ana kikao na Rais (au kiongozi yeyote wa ngazi ya juu serikalini). jamaa anaogopwa kishenzi hapa mtaa (kasoro mimi tu, maana mimi namjua in out )