Kituko harusini

Unautani na wahaya?
Hahahha na zile za .......Natambua uwepo wa Baba mzazi wa Bibi arusi,..Prof. Tilalila bin Mitungi. Yeye ni Profesa na PhD yake aliiichukulia kule Marekani
Natambua uwepo wa Mama mzaa chema, Dr. Kiroba bint Nyagi, yeye aliishi Bradford kwa miaka saba,
Nisisahau uwepo wa Baba Mdogo wa Bibi Arusu, Dr. Ambari wa Achari, ni Dr. kwa Mwananyamala, yeye aliishi sana Ujerumani
Natambua uwepo wa Pro. Naniliu, yeye pia ni Mbunge wa Jombo la Naniliu
Bila kusahau Uwepo wa Mr. Kaka wa Braza, yeye ni jirani yake Profesa

Eh utadhani tuko kwenye mkutano wa kichama, kumbe arusi!!
 
au atambulishe kabisa small house isiyokuwa rasmi. hivi kama mtu bado hajaoa, na ana mchumba rasmi na asiye rasmi, huyu asiye rasmi anaweza itwa small house? manake sio house yet ni kibanda umiza...lol

jamaa mzembe naye angemtambulisha ex-gf wake ili watoke ngoma draw..
 
last wk nlihudhuria send off moja maeneo ya Tabata jijini dsm, wakati bibi harusi anatambulisha ndugu zake mwisho akamtambulisha X-boyfriend wake nanukuu '" napenda kumtambulisha mwanaume wangu wa kwanza kabisa" mwisho wa kunukuu, mwanaume akasimama watu wakaguna ukumbini, ila nilipofuatilia ni kakuta huyo X-BF amazaa nae mtoto mmoja.

Je ni sawa kumtambulisha harusini/send off mpenzi wako wa zamani hata kama umezaa nae??

Huyo mume/bwana harusi amezidi upole hadi huyo mdada is taking him for granted! Dada huyo hana adabu kabisa, ningekuwa mimi yaani ningempa talaka hapo hapo jukwaani
 
Huyo ni mke wa mnayemuita ex-bf soma Mat19:3-9. Ndoa ilikuwa siku ile alipoingiliwa kwa mara ya kwanza(Lawi21:13-14) maana pale palikuwa na agano la damu!(damu inanena) bado ikaimarishwa tena kwa damu ya wakati wa kuzaliwa mtoto wa kwanza! Hizo damu ndizo(Law17:11) zinazomueleleza amtambulishe huyo mwenye mke hata kama jamii(pamoja na wazazi, makasisi) wanamtambua huyo aliyejitokeza rasmi(kutoa mahali) poor boy, ni bora angeenda kuanza mahala pengine tu maana Mungu hutimiza neno lake(1cor7:2-4,7:39,Mwa4:25,2:23-24) sasa ameikosa damu ya kwanza labda pengine kwenye 'kuendesha baiskeli', damu ya mtoto wa kwanza je,
_
 
mshikaji angeuchuna tu(japo roho inauma) afu nae angengoja harusini afu anawatambulisha kama kumi hivi walio vaa rangi za sherehe,mmoja mmoja, kwamba 'huyu ndo wa kwanza kabisa baada ya kutoka chuo,af nilivoachana nae nikawa na hawa wafuatao.................'.@#$%^&%$#@>>>.......zake huyo bi arusi!!
 
last wk nlihudhuria send off moja maeneo ya Tabata jijini dsm, wakati bibi harusi anatambulisha ndugu zake mwisho akamtambulisha X-boyfriend wake nanukuu '" napenda kumtambulisha mwanaume wangu wa kwanza kabisa" mwisho wa kunukuu, mwanaume akasimama watu wakaguna ukumbini, ila nilipofuatilia ni kakuta huyo X-BF amazaa nae mtoto mmoja.

Je ni sawa kumtambulisha harusini/send off mpenzi wako wa zamani hata kama umezaa nae??
Angalia kwenye nyekundu:
Hayo mambo ya kutambulishana arusini...mhhhhmmm...sikemei wala sisifii, lakini sioni ubaya wowote kwa mwanamke (katika kisa hiki au awaye yeyote pahali pengine) kumjulisha mwenzake uhusiano aliokuwa nao kabla. Hii ni kuepuka kuja kuyajua hayo mbele ya safari kupitia midomo mengine.

Hivi jamani kuna ubaya gani kuoa/kuolewa na mtu aliyewahi kuzaa? Kila siku tunaona watu wanaoana wakiwa wamezaa kwengine, muhimu wawe wanapendana na kukubaliana. Na sifikirii kama msichana atakuwa mjinga wa kumdanganya (her husband to be) kuwa yeye ni bikira hali ameshayazowea, na mjinga zaidi badae kuja kumjulisha mwanamume wake wa kwanza kabisa (inawezekana walikuwepo wengine kabla).

Tatizo letu wanaume (kutokana na baadhi ya michango), linapokuja suala la kuoa, mara nyingi tunataka tuwe "wa kwanza", wakati sisi wenyewe wengi wetu ni viwembe. Sasa ikiwa tumechagua mtindo huu wa maisha, kuna ubaya gani iwapo "your wife to be" alishawahi kubanjuliwa wakati nawe ulishabanjua na kukamua vya kutosha? Anayelikataa hili litadhihirisha tu yeye ni mwanamume wa aina gani.
 
Huyo ni mke wa mnayemuita ex-bf soma Mat19:3-9. Ndoa ilikuwa siku ile alipoingiliwa kwa mara ya kwanza(Lawi21:13-14) maana pale palikuwa na agano la damu!(damu inanena) bado ikaimarishwa tena kwa damu ya wakati wa kuzaliwa mtoto wa kwanza! Hizo damu ndizo(Law17:11) zinazomueleleza amtambulishe huyo mwenye mke hata kama jamii(pamoja na wazazi, makasisi) wanamtambua huyo aliyejitokeza rasmi(kutoa mahali) poor boy, ni bora angeenda kuanza mahala pengine tu maana Mungu hutimiza neno lake(1cor7:2-4,7:39,Mwa4:25,2:23-24) sasa ameikosa damu ya kwanza labda pengine kwenye 'kuendesha baiskeli', damu ya mtoto wa kwanza je,<br />
_
<br />
mkuu umeongea maneno mazito sana
 
Back
Top Bottom