Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
last wk nlihudhuria send off moja maeneo ya Tabata jijini dsm, wakati bibi harusi anatambulisha ndugu zake mwisho akamtambulisha X-boyfriend wake nanukuu '" napenda kumtambulisha mwanaume wangu wa kwanza kabisa" mwisho wa kunukuu, mwanaume akasimama watu wakaguna ukumbini, ila nilipofuatilia ni kakuta huyo X-BF amazaa nae mtoto mmoja.
Je ni sawa kumtambulisha harusini/send off mpenzi wako wa zamani hata kama umezaa nae??
Je ni sawa kumtambulisha harusini/send off mpenzi wako wa zamani hata kama umezaa nae??