miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Kuna mfanyakazi tuliletewa kutoka singida basi nikaenda kumpokea stand then nikawa nampeleka ofisn kwa maza hapo ppf tower ili amuone, atupe na lift ya kwenda home,ile tumefka kwny lift imeanza kupanda juu,nikaona yule dada amechuchumaa lift ilivofunguka nikamuuliza kwann ulichuchumaa akasema nilijua tunapimwa uzito ndo mana nilichuchumaa,hahah!sitamsahau
Ha ha ha nimefurah sana