Kituko alichonifanyia wiki hii hakika amenichoka!

Kituko alichonifanyia wiki hii hakika amenichoka!

Ukimaliza kaoge acha uchafu, ulishajua tambara chafu na siafu juu bado maji ukayaona baba mkwe.
choo kiko nusu kilometa je uadhani mtu atatoka nje kweli kunawa.. ni mwendo wa kijifuta tu... ilastory ya kutengeneza huwa haina mashikooo.
 
[emoji444] [emoji445] Usimuacheeee hata kwa utani utaniiiiii, umuhimu wa mtu unaonekana akiwa hayupoooo, basi baki naeeee, udumu naeee.[emoji445] [emoji444]

akhasantee everhurt kwa ushauri mzuri
 
unajua haya mambo huwa hayaji bule bule yanasababu tena sababu yenyewe iko kwako ukubali au ukatae jichunguze kwanza wewe kisha ndo njooo kwa mwenzako jikubali kama humlidhishi hilo likubali ndo uweze kutatua tatzo kwa njia ya ukweli ukitaka kujifichaficha hisia zako hutotatua tatzo milele naomba unisikilize tena kwa umakini zaid mtoe out mpeleke mahali tofaut ambapo mtakuwa wawiri peke yenu kisha kuwa muwazi kwanza wewe ukitaka yeye aanze wanawake huwa wasiri mno anaweza akakuficha kwa kuhofia aibu au kumtafsir vbaya kwa hyo kuwa muwazi elezea kwanza namna ambavyo wewe unahisi ni tatzo kwake kama unamchepuko sema ukweli ili muyamalize kama uume wako ni mdogo kiasi cha kufanya yeye halidhiki au ajisikii vzuri sema ukweli na umushilikishe namna ya kutatua tatzo hlo kama ni kuongeza ukubwa basi mjulishe tena kwa haliya furaha sio kwa muonekana wa unyonge kias cha kuhsi yeye mwanamke kama vle hatua hyo yeye haimpendezi jambo lolote ni uwazi na ukwer kama tatzo ni pesa pia sema ukweli hali yako wanaume wengi tumekuwa na hali ya kujisifu sana ulikuwa na maisha ya kawaida wewe unajisifu na kujipandisha ili mwanamke akuone wewe wa dhamani mno hali ambayo akiijua sio kweli halafu anabadilika. wewe unaanza kuomba ushauri na kudai ni mbaya kumbe wewe ndo mchawi sio yeye kwa hyo kuwa mkweli kwake mtayamaliza kama hataki kubadilika au hakuelewi achana nae tafuta mwngine wanawake wapo wengi,lkn anza kwanza hvyo na achana na sijui wakwe washenga na viongozi wa kiroho dili nae wewe mwenyewe hao viongozi na watu wengine wanaweza wasielezwe ukweri kwa sababu matatazo mengi ya kindoa yapo baina ya wawiri na yanabezi ktk tendo la ndoa na kujamiana sasa hao viongozi wanaweza wasijulishwe ukweri kwa kuhofia aibu ya mwanamke kwa hyo komaa wewemwenyewe
Ok mkuu ushauri wako nitafanyia kazi na nitakupa mrejesho
 
Mh mm naona kabla hujamhukumu uyo mkeo lazma kutakua na sababu ya kwann awe ivo.(1)unamuandaa ipasavo??kuna ile tabia unamuingilia kama wafanyavo ng'ombe hamna maandalizi unafikir mwanamke atafurahia chochote apo?
(2)je unamtosheleza??mana kuna wengine wao wakiingia kama mang'ombe hapo ni unamchuna tu mwanamke uko chin na anakupa ili akuridhishe tu ww lkn hafurahii kitu mana mnakujaga kwa pupa,mana anajua ukianza huchukui mda umemaliza,kwaio unakua kama umemuaffect saikology yake ,so hata akiwa karib nawe anakua akil yake haiko ready hata ufanye vp.
(3)unawajibika as a man ktk mambo mdgmdg??jitahid hata ukirud kutoka kazini japo kiua mwanamke hua anafurahi .
(4)kama unauwezo basi jaribu hata kwa mwez mara moja kumtoa out ,ajihis nae ni muongon mwa wanawak wanaothaminika mbele ya waume zao.
(5)jaribu kua open na kua close kwa mkeo,,sio mda wote ww ni busy na kazi ,kazi iko na ww,hata mda wa kukaa na mkeo mkaongea mkacheka ,kila mtu aseme yaliyokua ya moyoni ,ajue uyu anapenda nn, anataman nn hamunaga mda uo.badilika ww kwanza.kitu kdg kwako lkn ukimfanyia mkeo ndo itakua mwanzo wa big changes ebu jaribu uone.
(6)mnapokua faragha na mkeo jaribu kumbadilishia mazingira mnapotaka kukutana kimwil,mjengee ivo fantasy yenu iwe popote pale,yani mda wote atakutaman,akikaa jikon ww mfate cheza nae taratibu muongelee maneno mazuri kama alikua anapika ataacha ye mwenyew apo.mambo kama ayo jus bring changes.

Note: inaonesha umechange for some how,mwanzo mlivoowana kuna vitu ulikua ukimfanyia ila sasa humfanyii ,jaribu kua romantic as first kama kipindi kile uliyokua unamfanyia yarudishe tena yote uanze kumfanyia as if ndo mmeowana juzi.
JUS TRY IT.

Shukrani mkuu majibu utayapata
 
Kumwacha so suruhisho! Wajuaje km utakaekuja kumpata atakua sahihi kwako kwa kila jambo! ? Chamsingi jaribu kuongea nae kwa kumuuliza sababu nini mpaka amebadilika! . Ikishindikana hakuna mtaa usiokua na watu wazima. Mwite mmojawapo ajaribu kumuuliza yawezekana kunakitu kinamkera au amekisikia au ulifanya au unafanya lakin anashindwa kukwambia! Fanya ovyo! Usione wanamiaka sabin kwenye ndoa wamevumilia mengi! .
ahsante kwa ushauri wako
 
Mfanyie Kama NORTH KOREA anavomfanyia yule Mwehu!
 
Salaam wadau

Wadau mimi nina mke ambaye nilioa kwa sheria zote za kidini na tuna miaka kumi ndani ya ndoa yetu,hapo mwanzo ndoa yetu ilikuwa ya furaha na mapenzi lukuki

lakini ndani ya mwaka moja ndoa imeanza kulega mke ananuna bila ya sababu unyumba ni wa mashaka na nikipewa naambiwa fanya haraka umalize nataka kulala,

jamani hii ya juzi kati ndio ilikuwa funika na kudhihirishiwa mke amenichoka na hana mapenzi tena

kama mnavyojua ukishamaliza kula unyumba mke huwa na kitambaa na kumfuta mumewe na huku akimbembeleza kwa maneno matamu

balaa lililonikuta mimi nilipewa unyumba kwa masimango baada ya kumaliza kula unyumba mke nikamuuliza kuhusu kitambaa

Hakunijibu kitu alichofanya alifunua kitanda na kutoa jitambaa la dera la zamani akanitupia nijifute nami nikaanza kujifuta lakini ndani kama sekunde nikasikia nang'atwa kwenye uume

dah kushika ni sisimizi wale wenye vichwa vikubwa nikajikung'uta wakaisha nikalala kizazaa ilikuwa asubuhi uume una michanga aibu na lile tambara ni chafu hatari
jamani nilichoamua mimi nimuache sijui nyinyi waungwana mnashauri nini juu ya huyu mke

ushauri please kuna mapenzi tena hapo

ahsanteni
Kwa nini unasubiri kitambaa?si ungeenda chooni kunawa?
 
Ukiiishiwa hata mbwa wako anaweza kukupiga memo. Hakuna kitu Kinaya kama kuishiwa
 
Back
Top Bottom