ruvuma hiyoKaka zangu ukiwapa mke/pombe hafikishi zinapoenda lazima ataonja.
vita ni vita muraNadhani kila Mkoa nchini Tanzania una alama yake au kitu fulani maarufu sana kinachutambulisha Mkoa bila hata kuambiwa ukiona unajua tu hii kitu ya mkoa fulani. Twende kazi wadau, nini kinautambulisha mkoa wako?
Maarufuku na iwe, MaarufuNadhani kila Mkoa nchini Tanzania una alama yake au kitu fulani maarufu sana kinachutambulisha Mkoa bila hata kuambiwa ukiona unajua tu hii kitu ya mkoa fulani. Twende kazi wadau, nini kinautambulisha mkoa wako?
Mnara wa Mashujaa MbeyaNadhani kila Mkoa nchini Tanzania una alama yake au kitu fulani maarufu sana kinachutambulisha Mkoa bila hata kuambiwa ukiona unajua tu hii kitu ya mkoa fulani. Twende kazi wadau, nini kinautambulisha mkoa wako?
Wangoni(Songea-Ruvuma)Kaka zangu ukiwapa mke/pombe hafikishi zinapoenda lazima ataonja.
Bombii nyumbiiiKaka zangu ukiwapa mke/pombe hafikishi zinapoenda lazima ataonja.
Mara, specifically Tarimevita ni vita mura
UgonileNyumbi Bombi