Kitu gani maarufu kinautambulisha Mkoa unaotokea bila kutaja jina la Mkoa wenyewe?

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,517
8,442
Nadhani kila Mkoa nchini Tanzania una alama yake au kitu fulani maarufu sana kinachutambulisha Mkoa bila hata kuambiwa ukiona unajua tu hii kitu ya mkoa fulani.

Twende kazi wadau, nini kinautambulisha mkoa wako?
 
Nadhani kila Mkoa nchini Tanzania una alama yake au kitu fulani maarufu sana kinachutambulisha Mkoa bila hata kuambiwa ukiona unajua tu hii kitu ya mkoa fulani. Twende kazi wadau, nini kinautambulisha mkoa wako?
Mnara wa Mashujaa Mbeya
Viazi
Mchele
Mahindi
Baridi
Uoto wa kijani
Mbuga ya Kitulo
Safi ya Milima ya Livingston
Ziwa Ngosi
Milima Rungwe
Milima Loleza
Kona za Chunya na mengi mazuri
 
Back
Top Bottom