Natamani kujua,
Maana kwa uelewa wangu kama ni system ingeweza kuwa tofauti ya dakika tu, au angalau range ya masaa mawili kwa Kila mfanyakazi kupata mshahara,
Lakini Hali hii ya mpishano zaidi ya siku mbili mpaka tatu ni wazi Kuna shida mahali..
Wasi wasi wangu ni kuwa pengine mheshimiwa Raisi MAMA YETU,
hajui kama mshahara unaingia kwa mafungu mafungu...
"Kufika nchi ya ahadi...bado mbali sanaa!"
🎹🎹
Maana kwa uelewa wangu kama ni system ingeweza kuwa tofauti ya dakika tu, au angalau range ya masaa mawili kwa Kila mfanyakazi kupata mshahara,
Lakini Hali hii ya mpishano zaidi ya siku mbili mpaka tatu ni wazi Kuna shida mahali..
Wasi wasi wangu ni kuwa pengine mheshimiwa Raisi MAMA YETU,
hajui kama mshahara unaingia kwa mafungu mafungu...
"Kufika nchi ya ahadi...bado mbali sanaa!"
🎹🎹