Kitu gani kinakutisha....?

Kitu gani kinakutisha....?

Mi huwa naogopa sana kifo,though najua iko siku nitakufa.
 
Wanacheza kiduku, wanacheza kiduku
Kibamba wanacheza kiduku eeh

Kinondoni wanacheza kiduku eeh
Mwananyamala wanacheza kiduku eeh

Wanacheza kiduku!
 
Naomba kufafanua swali langu naona halikueleweka vizuri. Kama utapewa nafasi ya kuja duniani, ni nini unaogopa kuwa. Mfano, imagine kuzaliwa swala, chakula cha simba.
Au kuzaliwa popo unasinzia kichwa chini miguu juu.
 
Same here! Mbinguni nataka kwenda ila kufa naogopa! Siwezi hata kuaga maiti, achia mbali kuigusa wala kuvaa nguo za marehemu! wala kuingia mortuary! Sijui nikikua itabadilika?
Mi huwa naogopa sana kifo,though najua iko siku nitakufa.
 
Naomba kufafanua swali langu naona halikueleweka vizuri. Kama utapewa nafasi ya kuja duniani, ni nini unaogopa kuwa. Mfano, imagine kuzaliwa swala, chakula cha simba.
Au kuzaliwa popo unasinzia kichwa chini miguu juu.
Edit basi thread yako maana watakao kuja wanaweza wasisome hapa...
 
umewaza mbali sana mdau....
Ukiendelea kuwaza hivi, unaweza hata kutengeneza REMOTE CONTROL ya JUA.
Ukawa unatusaidia kupunguza makali ya jua na joto lake kali.
Mkuu umenichekesha saana!
 
he he heee mwali weee, kumbe wewe uko kama miye,
Zinduna we unaogopa kuchunguliwa wakati umejilengesha webcam kwenye mavituz ili tukuchungulie kupitia mtandao???
 
Nimeinama, nimeinuka, nimeokota kidude....

Sijui ni kidude gani hicho kilichokuwa kinazungumziwa.
Amesema toa e weka u kwahiyo inakuwa hivi kidude=kidudu,je wewe bado hujamuelewa tu? Nalog off
 
Back
Top Bottom