Kitu gani kilikufanya ujitafakari

chai ya rangi

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2026
Posts
1,039
Reaction score
3,084
Mimi nilikia najichukulia poa lakini kuna siku wanawake wawili walinipigania.

Walipigana haswa hadi balozi alikuja kuamua na kila moja alipigana na mwenzake kwasababu wote walikua wananipenda sana hawakutaka kunipoteza, kilichosaidia balozi alikuja kuwaamua na tangu hapo nilijitafakari upya na kuona kuna watu walipigana kwaajili yangu.

Je, ni kitu gani kilikufanya ujitafakari upya ?
 
Nyota ya ukimwi hio hamna lolote
 
Kuna mdada kaniambia ana mimba yangu,hili limenifanya nijitafakari sana maana sikuwa natarajia hichi kitu kwa saivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…