Kitu gani cha ajabu ushawahi kufanya?

Kitu gani cha ajabu ushawahi kufanya?

Usishangae ni mahaba tuu hayo, sometimes yakizid waweza fanya mambo ya ajabu sana. Ukweli ni kwamba nimeshtuka usingizini napapasa pembeni simuoni mwenzangu nikaona mpaka kuanza kuvaa nguo nitachelewa ndio ikabidi nitoke hivyo hivyo Mungu si athuman nikakuta jamaa katulia kwenye kochi .
Ungemkuta kakamatia beki3 ingekuwaje??
 

Spart picha,pale macho ya
Wakwe zako yalipokugeukia ww
Cjui sura uliiweka wap

[Color= yellow]Triple A[/color]

Wakati wanageuka nami nishamgeukia mfanyakazi kwa sauti kali "Nani kaweka huu ujinga hapa?
 
Kujifanya navuta sigara za kujitengenezea na karatasi nilpokuwa mdogo, mapafu yaliumia sikurudia tena

Pia kwenda bar eti kutembea na kutaka kunywa bia baada ya libaba flani kuniagizia kinywaji, sister flani mhudumu wa hapo alikuwa ananifaham akakataa akanletea soda badala yake- nilkuwa kama na miaka 9 au 10 hivi

Nyingine ni kujaribu kunywa pombe siku naenda shule baada ya kufungua, nilkuwa advance boarding, nililewa kidogo kichwa kiliniuma, nilifika shule nanuka pombe kilichofuata nililala usingizi mzito balaa
Wewe ni Ahmada tokea utoto....siku hizi umeacha?
 
kulia na kutokula kwa siku 2 baada ya edo mamvi kuenguliwa ktk mchujo wa cc,ila furaha iliporud alipopata nafas ya kupeperusha bendera via UKAWA

Sent from my SM-G925T using JamiiForums mobile app
 
kuamka asubui huku nanii imesimama iko 4g nkawa naenda toi sa sebln kulikua na maza na wenzake me skujua daaah nilivo waona nilitoka mbio hatar

sent from aifoni seveni plasi
 
Nilichukua CD kwa mshikaji kufika home natest na mother akiwepo kumbe ilikua ya X.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka nikiwa bado mdogo sana niko na anko wangu kwa sasa ni marehemu Mungu amrehemu, basi alikuwa mtu wa totozi sana na night club kinomanoma, siku hiyo katoka club na Wanawake 2 mmoja wake na mwingine kaniletea mimi eti! Sijui chochote bado kadogodogo, tukalala geto moja kitanda 1 kikubwa 6*6, sasa anko akaanza kumt.omba yule mwanamke wake, huyu mwingine si akanikumbatia kaninyanyua nikawa nimemlalia kwa juu yake, anauchukua mkono wangu si akaupeleka kunako papuchi kunishikisha hamad nakutana na mavuzzi aiseee, sitaisahau ile siku - kwanza nilitetemeka kisha nikaweweseka, nilipojinasua nilifungua mlango nikatoka nduki ya hatari, walinitafuta bila mafanikio. Siku iliyofuata asubuhi nikarudi anko ananiuliza kwani ilikuwaje ? Si ndio nikamwambia kilichotokea, nilidhani lile ni jini, kuwa na nywele kule maeneo nyeti, alicheka sana, ukubwani ndio nikaja kujua kuwa kuumbe!!
 
Back
Top Bottom