Kitu gani cha ajabu ushawahi kufanya?

Kitu gani cha ajabu ushawahi kufanya?

Usishangae ni mahaba tuu hayo, sometimes yakizid waweza fanya mambo ya ajabu sana. Ukweli ni kwamba nimeshtuka usingizini napapasa pembeni simuoni mwenzangu nikaona mpaka kuanza kuvaa nguo nitachelewa ndio ikabidi nitoke hivyo hivyo Mungu si athuman nikakuta jamaa katulia kwenye kochi .

Hongera.Navuta picha jinsi unavyotoka chumbani mpaka sebuleni kisha nawavutia picha na wazee wa chaputa hapa JF wanavyoipokea kwa bashasha hii habari.
 
Hongera.Navuta picha jinsi unavyotoka chumbani mpaka sebuleni kisha nawavutia picha na wazee wa chaputa hapa JF wanavyoipokea kwa bashasha hii habari.

Huo mwendo aliokua anatembea
Hauna tofaut na chaputa ya,bafun

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Usishangae ni mahaba tuu hayo, sometimes yakizid waweza fanya mambo ya ajabu sana. Ukweli ni kwamba nimeshtuka usingizini napapasa pembeni simuoni mwenzangu nikaona mpaka kuanza kuvaa nguo nitachelewa ndio ikabidi nitoke hivyo hivyo Mungu si athuman nikakuta jamaa katulia kwenye kochi .

Aiseee naona ulisababisha
Kimoja hapo hapo kwenye sofa

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Nje kava la bongo movie ndani picha ya X kisha ikawekwa mbele za wakwe.Kila nikimtafuta uncle JJ hapatikani naona viuno tu.Muuza CD alinimaliza.

Spart picha,pale macho ya
Wakwe zako yalipokugeukia ww
Cjui sura uliiweka wap

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Kujifanya navuta sigara za kujitengenezea na karatasi nilpokuwa mdogo, mapafu yaliumia sikurudia tena

Pia kwenda bar eti kutembea na kutaka kunywa bia baada ya libaba flani kuniagizia kinywaji, sister flani mhudumu wa hapo alikuwa ananifaham akakataa akanletea soda badala yake- nilkuwa kama na miaka 9 au 10 hivi

Nyingine ni kujaribu kunywa pombe siku naenda shule baada ya kufungua, nilkuwa advance boarding, nililewa kidogo kichwa kiliniuma, nilifika shule nanuka pombe kilichofuata nililala usingizi mzito balaa
 
kujinyea shuleni then ticha akaamuru darasa zima watoke nje

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Usishangae ni mahaba tuu hayo, sometimes yakizid waweza fanya mambo ya ajabu sana. Ukweli ni kwamba nimeshtuka usingizini napapasa pembeni simuoni mwenzangu nikaona mpaka kuanza kuvaa nguo nitachelewa ndio ikabidi nitoke hivyo hivyo Mungu si athuman nikakuta jamaa katulia kwenye kochi .
Ah Ah tell me all about it. Alireact vipi na wewe ukafanya nini?
 
Nakumbuka ilikua mwaka 2001, niliteleza kutoka juu umbali wa mita 50.......
Ajabu ni sikuvunjika popote wala kujeruhiwa zaidi ya kujinyea tu kuwenye nguo.....
First Aid ukapewa nini? Dawa au Tissue Papers?

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
 
Nilikuwa nataka nifue nguo usiku na zikauke nizivae asubuhi yake..

Nikajisema niziloweke for one hour..nilipitiwa na usingizi..

Nikazinduka saa 11 alfajiri..

Nguo zenyewe ni uniform za shule..
Umenikumbusha hii- shule ya msingi nilivaa sana soksi mbichi nilkuwa nafua asubuhi then ndo naenda shule au nafua shati then nalikausha kwa pasi
 
Basi ikabidi nimgombeze kimahaba "mpenzi kwanini unanipa adhabu ya kuitafuta tamuuu yangu?"
Akajibu ooh am sorry baby come this way,,,,,, ayayaaa hapo ilikuwa ni balaa usinikumbushe jamani
Aah staki kuimagine pia maana saiz ni usiku haf nipo mbali na bae
 
Mie nilitindua Linda

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
 
Nakimbuka miaka ya 2008 nilienda kumtembelea shangazi huko kijiji jirani sa kufika nkamkuta anaishi na mtoto wake wa kike (namzidi mwaka mmoja)sa ikafika usiku nkatandikiwa mkeka sebuleni nkalala afu na binamu akalala humo humo sebuleni shangazi akaenda kulala chumbani kwake nkapimia mda nkajua shangazi atakuwa kashasinzia nkajisogeza taratibu kwa mtoto wa shangazi nkaanza kumshika chuchu pasipo kumwongelesha neno lolote Mara nkashtuka ameingiza mkono kwenye kyupi changu akaanza kushika mb baada ya hapo nkapiga shoo ya kizushi, asubuhi wakati naaga kuondoka mtoto wa shangazi akaanza kulia akaulizwa kwa nini akadai et nimeondoka nimemwacha sema shangazi, hakung'amua.Yangu siku ile nkienda kwao napiga shoo nmeacha mwaka2010 baada ya yeye kuolewa.

Senti furomu mai tekino wereva yuzingi jamii foramu mobaili apu
 
Back
Top Bottom