Kitu gani cha ajabu ushawahi kufanya?

Kitu gani cha ajabu ushawahi kufanya?

Nakumbuka mwaka 2009 nikiwa likizo, nilienda kigoma kwa bibiyenu wa zamani kabla ya huyu alieniacha sikuzile aliponifumania na mchepuko mpya ambao nilikua nimeuchukulia rafiki yake.
Sikuyo bhana.......
Tulitoka tukaenda kwa hotel moja matata iliopo kando na ufukweni mwa ziwa Tanganyika......
Tulikaa na marafiki wa huyo bibi yenu wa sikuzile, tuliagiza vinywaji kama kawa kama dawa......
Nilipo inuka kwenye kuserebuka na kisha nikarejea, nilipiga kinywaji chote kilichokua kwa glass, na hapopapo nikapoteza faham.
Long short story ni kwamba.......
Kumbe ilibainika niliwekewa sumu kwenye beer...
Agghhhhhh........
Ebu ngoja niishie hapo kwanza, lakini sikufa
 
Nakumbuka mwaka 2009 nikiwa likizo, nilienda kigoma kwa bibiyenu wa zamani kabla ya huyu alieniacha sikuzile aliponifumania na mchepuko mpya ambao nilikua nimeuchukulia rafiki yake.
Sikuyo bhana.......
Tulitoka tukaenda kwa hotel moja matata iliopo kando na ufukweni mwa ziwa Tanganyika......
Tulikaa na marafiki wa huyo bibi yenu wa sikuzile, tuliagiza vinywaji kama kawa kama dawa......
Nilipo inuka kwenye kuserebuka na kisha nikarejea, nilipiga kinywaji chote kilichokua kwa glass, na hapopapo nikapoteza faham.
Long short story ni kwamba.......
Kumbe ilibainika niliwekewa sumu kwenye beer...
Agghhhhhh........
Ebu ngoja niishie hapo kwanza, lakini sikufa
Malizia mkuu aisee
 
Nilikuwa nataka nifue nguo usiku na zikauke nizivae asubuhi yake..

Nikajisema niziloweke for one hour..nilipitiwa na usingizi..

Nikazinduka saa 11 alfajiri..

Nguo zenyewe ni uniform za shule..
Kwani kushinda shule siku moja dhambi...
 
Wakuu habari za usiku..
Hivi kitu gani cha ajabu ushawahi fanya maishani mwako mpaka ukajishangaa baada ya kufanya
8462929ea3d67047323426d93d7d7ed5.jpg
KTK MAISHA YANGU AMBACHO NILISHAWAHI KUKIFANYA NI : KUTOICHAGUA CHADEMA:

Sent from my SM-E700H using JamiiForums mobile app
 
Nimefurahi kusikia mke akimtega mumewe utadhani ni shemejiye.Pia nimevuta picha kama hapo sebuleni kungekuwa na shemeji.
Usishangae ni mahaba tuu hayo, sometimes yakizid waweza fanya mambo ya ajabu sana. Ukweli ni kwamba nimeshtuka usingizini napapasa pembeni simuoni mwenzangu nikaona mpaka kuanza kuvaa nguo nitachelewa ndio ikabidi nitoke hivyo hivyo Mungu si athuman nikakuta jamaa katulia kwenye kochi .
 
Back
Top Bottom