Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Isitoshe ntashindwa hata kutinga nalo kwenye parties zenu washashi msije kmjua Kiranga. Na sasa nishawaharibia wabongo wengine wanaoendesha Evoque hawakawii kuwaona Viranga wote.
Aaah wapi...wengine tuna mzio na hizo party. Binafsi sipendi crowds kabisa. So chances of me kuwa kwenye party ni slim to none.
Kama mfuko wako mnene wewe nunua tu. Najua utazi impress sana totoz hata yule anayemalizia PhD lol.
Mi mbeba maboksi ntabaki na Maxima yangu ya 1999. Mambo ya car notes siyawezi bana.