Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

Huyo dawa yake ni kumuwekea mtego ukimkamata unamlisha cement belesh moja akafie mbele.
 
loh, sasa na wewe ndugu yangu nanunua vifaranga kwa mtu mbona makampuni yako mengi sana wanauza vifaranga, unaagiza unaletewa popote ulipo, au alikuambia anakuuzia sh50?

condom sh.50
tunanunua kwenye.kampuni???
 
labda kwa maombi mkuu
we pdidy na wewe umezidi vituko, tunazungumzia vifaranga vya kuku unawaza uzinzi, btw,alikuwa anahitaji vifaranga vitatu kama pakti ya condom?
 
[h=1]Natoa Tamko la kupinga kukanusha juu ya hii taarifa yenye kichwa cha habari “kitomar2 ni jambaz kanitapeli’’kuhusishwa na jina ‘’kitomai.’’[/h]
Awali ya yote natoa shukrani ziwaendee wana JF wote walionipigia simu, walioni PM, walio ni sms na wengine kuchangia kukanusha juu ya hiyo habari ya kutohusishwa na kitomai mimi.


Kwanza mimi natumia jina la kitomai na siyo kitomar2…Na ukitaka kujua habari za kitomai google, kitomai au tembelea (www.kitomai.com au https://www.facebook.com/kitomaikayinga) humo utajua nini kitomai anafanya. Huyo kitomari2 ni kiumbe mwingine asihusishwe na mimi.

Kama haujaridhika na kukanusha huku na unahitaji maelezo ya ziada ni-whatsapp humu r+255755312233 au nipigie/sms kupitia namba hizi 0784225000 au 0717114409. Mimi nipo kama ninavyooneka katika profile pic yangu.

Aksanteni.

Jamaa amekuharibia jina
 
we pdidy na wewe umezidi vituko, tunazungumzia vifaranga vya kuku unawaza uzinzi, btw,alikuwa anahitaji vifaranga vitatu kama pakti ya condom?

hahaaa mkuu nimegusa mamboyetu

taja sh 49

50 hata mamboyetu siendi kiwandani
 
huyo dawa yake ni kumuwekea mtego ukimkamata unamlisha cement belesh moja akafie mbele.
UNAJUA TUMBONI KUNA MICHANGA IKIZIDI INAITWA APPENDEX

SO CEMENT.NA MCHANGA WEEE



akigeuka tofali si atakuuwwa
 
Pole mkuu,
Ila haya mambo ya ni PM ndio matokeo yake.
We tafuta Picha yake iweke humu live.Ili tumjue,maana kuna watu watakupeleka hadi kwao.
Yaani hata matumzi ya Sima watu mnajua kwenye facebook tu,mie mtu nikihisi tapeli kwanza nategensha sim namrekodi kila kitu.na kwa bahati kuna devices kama Peni tu kuna jamaa nilimuaiza china,basi maelezo yote na kila kitu narekodi tena kwa Video Cam,iliyopo kwenye pen yenye USB devise.
Mie ukinidhulumu hata 100 aisee nakuuwa tu
 
Sijui niseme. Jirani zangu ni kitomari mkubwa na mdogo.

Walifuatwa hapo kwao na mitutu kuwa wamezulumu. Wakakimbia nyumba zao wakaenda kujichanganya nagorofani kkoo. Hata hivyo wale watu walirudi na kuwazuru vibaya sana wanachuo waliiwapangishia ile nyumba.

Hii yote inaniaminisha kuwa hao akina kitomari siyo wazuri.

Pole uliyelizwa.
 
Pole mkuu,
Ila haya mambo ya ni PM ndio matokeo yake.
We tafuta Picha yake iweke humu live.Ili tumjue,maana kuna watu watakupeleka hadi kwao.
Yaani hata matumzi ya Sima watu mnajua kwenye facebook tu,mie mtu nikihisi tapeli kwanza nategensha sim namrekodi kila kitu.na kwa bahati kuna devices kama Peni tu kuna jamaa nilimuaiza china,basi maelezo yote na kila kitu narekodi tena kwa Video Cam,iliyopo kwenye pen yenye USB devise.
Mie ukinidhulumu hata 100 aisee nakuuwa tu

Hy Peni Yenye Uwezo Wa Kurekodi Wapi Inakopatikana Na Kwa Bei Gani? Tujulishe Mimi Naihitaji,
 
Pole mkuu,
Ila haya mambo ya ni PM ndio matokeo yake.
We tafuta Picha yake iweke humu live.Ili tumjue,maana kuna watu watakupeleka hadi kwao.
Yaani hata matumzi ya Sima watu mnajua kwenye facebook tu,mie mtu nikihisi tapeli kwanza nategensha sim namrekodi kila kitu.na kwa bahati kuna devices kama Peni tu kuna jamaa nilimuaiza china,basi maelezo yote na kila kitu narekodi tena kwa Video Cam,iliyopo kwenye pen yenye USB devise.
Mie ukinidhulumu hata 100 aisee nakuuwa tu
Hahaaa, ungekuwa jirani ningekuja kukuliza laki tu nione!
 
Hy Peni Yenye Uwezo Wa Kurekodi Wapi Inakopatikana Na Kwa Bei Gani? Tujulishe Mimi Naihitaji,
haifiki hata elf5o!
spp.JPG

spp (2).JPG
 
Kiukweli Kitomari2 kachafua hali ya hewa humu jf, kwa style hii tutashindwa kusaidiana hata kwenye masuala nyeti kama afya n.k ambapo ili uhudumiwe lazma utume hela kwanza.
Hivyo nawaomba tuendelee kusaidiana kama kawaida.

Unaweza kuta ni wewe umekuja na ID nyingine....(Joke)
 
Last edited by a moderator:
habar wanandugu mimi ni muhanga wa kutapeliwa pesa na ndugu Kitomari2 nilidunduliza kiasi cha laki na nusu kwenye kibubu nikiwa na nia ya kuanzisha mradi wa kuku hiyo pesa niliipata kwa shida sana nikaandaa banda nikaoder vifaranga 50 nikalipia ila huwez amini tangu mwenz wa nane hadi leo roho inaniuma sana ila najua haki ya mtu haipotei bali itachelewa hilo ni jasho langu nitapambana no matter what tahadhar kwa wengine msije mkapotea kama mimi

Pole ndugu. Ila edit hilo jina ili tag imguse mtu sahihi. Kuna mtu analalamika umekosea ku tag jina...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom