Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

wew kaka sikia mpaka nimekuja kushtaki hapa ina maana nimezunguka kote labda kama ni wewe umekuja kwa jina jingine kujisafisha bt otherwise nimesharepot police na vodacom kuna mkakat unafanyika wa kumbamba coz ile sms ya m pesa niliyomtumia pesa bado nilikuwa nayo kwa cm
 
habar wanandugu mimi ni muhanga wa kutapeliwa pesa na ndugu Kitomari2 nilidunduliza kiasi cha laki na nusu kwenye kibubu nikiwa na nia ya kuanzisha mradi wa kuku hiyo pesa niliipata kwa shida sana nikaandaa banda nikaoder vifaranga 50 nikalipia ila huwez amini tangu mwenz wa nane hadi leo roho inaniuma sana ila najua haki ya mtu haipotei bali itachelewa hilo ni jasho langu nitapambana no matter what tahadhar kwa wengine msije mkapotea kama mimi


Jamaa aliyefanya uhuni ni kitomari2
Wizi ndani ya JF upo sana na mods washasisitiza jinsi ya kufanya bizness na mtu ndani ya JF,kuna jamaa anaitwa kitomari2 ni tapeli la kufa mtu ana ID kibao anaanzisha sredi kwa ID ya kitomari anajijibu kwa IDs nyingine zaidi ya 6 unaweza ukahisi jamaa ni muaminifu maana ID fake nyingine anajishukuru yeye kwa kujiuzia banta mzinga lol kuwa makini.


Ebu fungua hii sredi uone tapeli kitomari2 alivyo na ID lukuki sema mods wameziunganisha sredi kaanzisha yeye na anajijibu yeye!

~~~
www.jamiiforums.com/ujasiriamali/514230-bata-mzinga-wakubwa-kwa-wadogo.html
~~~~
 
Last edited by a moderator:
Yaan huyu jamaa na wauzaji wa vifaranga Arusha kwa ujumla wao ni feki tupu wizi unaziba baraka hadi kizazi chako cha nne
 
Poleee saana!nina imani ulishalipwaaa na Mwenyezi Mungu
Mungu alishanilipa kaka alinibariki mno akanipa kazi yenye kunipa kipato kikubwa acha Mungu aitwe Mungu
Ukimtumaini Mungu machozi yako hayadondoki bure na najua adhabu ya akina Kitomari ni kubwa sana
 
Wekeni namba yake tumtambue huyo jamaa maana sisi wengine ni watu wa dili kubwa sana so tusije kwenda jela kisa mtu mmoja anaetaka kuharibu kazi sema kwa sasa naona humu sio salama watu wengi ni matapeli tuu
 
mmh!.,mkuu,kukiukwa kwa makubaliano ya aina yoyote waliyokubaliana wanachama wa jf "nje" ya jf hayamfanyi Invisible or jf officials wawe answerable kutoa maelezo whatsoever. tena usishangae huyo mleta mada akalimwa BAN kwa kum-name calling anaye mtuhumu.nimeongea ki-layman,tusubiri magwiji wa sheria waje.

But they can do as a favor chini ya kapeti to help him arrest the bastard
 
Back
Top Bottom