Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

habar wanandugu mimi ni muhanga wa kutapeliwa pesa na ndugu kitomari2 nilidunduliza kiasi cha laki na nusu kwenye kibubu nikiwa na nia ya kuanzisha mradi wa kuku hiyo pesa niliipata kwa shida sana nikaandaa banda nikaoder vifaranga 50 nikalipia ila huwez amini tangu mwenz wa nane hadi leo roho inaniuma sana ila najua haki ya mtu haipotei bali itachelewa hilo ni jasho langu nitapambana no matter what tahadhar kwa wengine msije mkapotea kama mimi

Ref; https://www.jamiiforums.com/ujasiri...-mjasiriamali-ambaye-ni-member-wa-huku-2.html

Mods wanaweza kua na jina lake email adress yake, hapo kupata mawasiliano yake mengine kama Jina lake halisi na pengine hata namba ya simu inawezekana. kama kuna nia ya kufanya hivyo. Watu wa aina hii ndio wanaochafua JF.

Angalizo;
Kuna Kitomari2 wa Arusha na Kitomari yule dalali wa viwanja na nyumba mitaa ya Mbezi beach, kawe, Ununio n.k. Msije mkawachafua wengine kwa kuwachanganya hawa watu.
 
Last edited by a moderator:
We Kitomari, tuhuma nzito hizi mbona umeondoka jamvini? wala hutaki kujibu, je tuamini kwamba tuhuma hizi ni kweli?
 
mmh!.,mkuu,kukiukwa kwa makubaliano ya aina yoyote waliyokubaliana wanachama wa jf "nje" ya jf hayamfanyi Invisible or jf officials wawe answerable kutoa maelezo whatsoever. tena usishangae huyo mleta mada akalimwa BAN kwa kum-name calling anaye mtuhumu.nimeongea ki-layman,tusubiri magwiji wa sheria waje.

Mtoa mada ameuliza tu kama kuna namna ya kumdhibiti, amentaja kaka mkubwa kwa kuwa yeye ni gwiji wa haya mambo ya mitandaoni.
 
Last edited by a moderator:
mmh!.,mkuu,kukiukwa kwa makubaliano ya aina yoyote waliyokubaliana wanachama wa jf "nje" ya jf hayamfanyi Invisible or jf officials wawe answerable kutoa maelezo whatsoever. tena usishangae huyo mleta mada akalimwa BAN kwa kum-name calling anaye mtuhumu.nimeongea ki-layman,tusubiri magwiji wa sheria waje.

aliyempa taarifa Invisible hakuwa na maana kuwa ndio mzigo anapewa Invisible ili amlipe mhanga, bali alikuwa na maana mkuu afanye namna ya kumblock au kumhoji kwa pm muhusika au kufuatilia sms zake zote pm na kuangalia anachofanya.
 
Last edited by a moderator:
Kuwa nae serious ndugu,na lazima atarudisha hela zako tu,na uzuri kama ulimtumia hiyo hela kwa Mpesa au tigopesa mbona ni rahisi sana kumshkisha adabu?usimkatie tamaha ndugu,mshikishe adabu ili ajifunze kua mtu wa haki
 
Hivi unawezaje kucheka au kutoa kejeli kwa ishu kama hii??? Kama pesa hiyo inatumika kunywea bia usiku mmoja inamhusu nini mwenzio anayeitumia pesa hiyo kujikomboa kimaisha kutoka hali moja kwenda nyingine?? No wonder smart people are quitting JF!

Hakuna kitufe cha LIKE ila kula bonge la LIKE, Jf sasa au inaanza kugeuka kuwa kijiwe cha bunch of useless losers au watu wanashindwa kutenganisha majukwaa, mambo ya chit chat au jokes wanayaleta kwenye majukwaa yasiyohusika
 
Mnaangaika na wezi wadogowadogo wakati wezi wakubwa (CCM) mnawashangilia; mnanichefua mmimi.
 
kaka yaan ninauchungu nataman ata kumloga

nakushauri tumloge tafuta mshumaa mwekundu,then ni pm,for further instructions,pesa yako atairudisha yote....hii ni faida na kwa wengine wenye shida kama hizo pm,kwa msaada zaidi
 
KITOMALI kama jina lilivyo ni tapeli. Asituharibie mtandao wetu.Wengine nikiwawamo na mie tumebhatika kupitia jf ujasiliamali.:evil:
 
Kuna wengine amabao nadhani hii page si yao, wanavamia bila kujua.Mambo ya ccm na ujasiliamali wapi na wapi. Hasira za kushindwa maish zisipitie huku.Tafuta forum inayokufaa ndugu yangu
 
aliyempa taarifa Invisible hakuwa na maana kuwa ndio mzigo anapewa Invisible ili amlipe mhanga, bali alikuwa na maana mkuu afanye namna ya kumblock au kumhoji kwa pm muhusika au kufuatilia sms zake zote pm na kuangalia anachofanya.

kwa hiyo kumbe hata zile pm nilizokuwa namu-approach mdada naniliyu kumbe hawa jamaa wa jf wakijisikia wana uwezo wa kuzipitia?!mwee.sitongozi tena kwa PM.LOL
 
Last edited by a moderator:
habar wanandugu mimi ni muhanga wa kutapeliwa pesa na ndugu kitomari2 nilidunduliza kiasi cha laki na nusu kwenye kibubu nikiwa na nia ya kuanzisha mradi wa kuku hiyo pesa niliipata kwa shida sana nikaandaa banda nikaoder vifaranga 50 nikalipia ila huwez amini tangu mwenz wa nane hadi leo roho inaniuma sana ila najua haki ya mtu haipotei bali itachelewa hilo ni jasho langu nitapambana no matter what tahadhar kwa wengine msije mkapotea kama mimi

pettymarcel, ulimpa cash au ulimtumia kwa e-money? Umeulizwa haujajibu.
 
Last edited by a moderator:
nakushauri tumloge tafuta mshumaa mwekundu,then ni pm,for further instructions,pesa yako atairudisha yote....hii ni faida na kwa wengine wenye shida kama hizo pm,kwa msaada zaidi

Makubwa! Huduma yako ni bure ama na wewe utamtoza mshiko huyu mtapeliwa.
 
Nashukuru kwa taarifa hii, mimi nilikua namtafuta kwenye thread ya bata anasema ana bata perkin, nimejaribu kumpigia simu aliyo itoa haipatikani ili kuwapata. Kumbe tapeli!!!!!!!
 
makubwa! Huduma yako ni bure ama na wewe utamtoza mshiko huyu mtapeliwa.

huduma zangu bure kabisa nataka huyu tapeli tumtie adabu iwe fundisho kwa wengine .it really works bana.....kwa hali ilivyo ngumu haifai kurudishana nyuma namna hii.
 
Back
Top Bottom