Tehe tehe
Teh teh teh
laki unusu hiyo ni hela ya bia usiku mmoja,tena baa za kiswaz.inakuwaje jamaa amekulia timing na kukuweka king hela km hiyo!
huyo tapeli njaa tu
Hivi unawezaje kucheka au kutoa kejeli kwa ishu kama hii??? Kama pesa hiyo inatumika kunywea bia usiku mmoja inamhusu nini mwenzio anayeitumia pesa hiyo kujikomboa kimaisha kutoka hali moja kwenda nyingine?? No wonder smart people are quitting JF!
Tatizo kubwa ni kumsikiliza mtu porojo zake na kumuamini.
Kuna vigezo vya kumwamini mtu.
Mtu anakwambia ofisi yake na ana kupeleka hafu huangalii vigezo vya kutosha kuwa ofisi ni yake.
Hata mimi ilinikumba dizain hiyo.
Ila tuu sikufikanae mbali kwani niliona picha za ku unga unga nika stuka.
Umeongea sahihi kabisa mkuu,nadhani mbali ya kumuanika na kumlalamiki huyu tapeli hapa,inatakiwa wamchukulie hatua stahiki za kisheria ili liwe fundisho kwa matapeli wa namna hii wote wanaotuharibia humu Jamiiforums!kama hela alitumiwa kwa huduma za Mpesa,tigopesa au airtel money,ni rahisi sana kumtia huyu mtu nguvuni na kumfikisha kunakohusika!
and kind people like you are joining JF.how unamwamini mtu na kumpa pesa yako bure uliyoitunza kwa mda kibao?she was smart to save money but not smart to use it.anatakiwa afanye kazi ya kichwa next time kwani kwa sasa niyy kabug step.Hivi unawezaje kucheka au kutoa kejeli kwa ishu kama hii??? Kama pesa hiyo inatumika kunywea bia usiku mmoja inamhusu nini mwenzio anayeitumia pesa hiyo kujikomboa kimaisha kutoka hali moja kwenda nyingine?? No wonder smart people are quitting JF!
ni kweli kabisa ndugu yaani siku hizi.kuaminiana humu JF ni ngumu tofauti na siku za.nyuma watu tulikua tunakopeshana na kuungishana bidhaa mbalimbali kwa kutumoana hela kwenye simu tena kwa uaminifu..tuwe makini jaman JF ya leo imejaa matapeli..JF ilikuwa zamani hata mimi nilikuwa nanunua na kufanya biashara kupitia JF lakini kwa hivi karibuni sifanyi hivyo utapeli/udanganyifu /uongo ni mkubwa hapa JF siku hizi nikiingia JF ni kupiga porojo na kushabikia mambo ya siasa na kusoma mambo mbalimbali ,lakini linapokuja swala linalohusu pesa najimovuzisha mbali kama kishada,aheri niingie gharama kwa kununua kitu mahala halali kinapouzwa kuliko mali kauli za humu JF,wamebaki watu wachache waaminifu ambao wanjulikana kama akina Baraka,Tanmo,Nextlevel.
Bora pawepo na JF MONEY wanakua wanapokea pesa na kuzihold hadi mnunuaji atoe release order kwamba kapokea mzigo wake salama salimini.
habar wanandugu mimi ni muhanga wa kutapeliwa pesa na ndugu kitomari2 nilidunduliza kiasi cha laki na nusu kwenye kibubu nikiwa na nia ya kuanzisha mradi wa kuku hiyo pesa niliipata kwa shida sana nikaandaa banda nikaoder vifaranga 50 nikalipia ila huwez amini tangu mwenz wa nane hadi leo roho inaniuma sana ila najua haki ya mtu haipotei bali itachelewa hilo ni jasho langu nitapambana no matter what tahadhar kwa wengine msije mkapotea kama mimi
nkuu nakupa pole sana mimi pekee nakiri kunawakati nilitaka kuwanunua ila nikastuka kidogo kwa maana alikuwa fasta sana hadi akanitumia jina lake analotumia kwenye akaunti ya facebook na akaweka picha za hao bata bukini na bata mzinga nilistuka kidogo kwenye ile bei maana mie nawajua hivyo nikamwambia nitakuja Arusha maana nlikuwa na safari ya huko.Kilichotokea nilimpigia simu tutakubaliana tukutane pale tengeru then anipeleke baada ya mie kufika KIA nikamwambia niko hapa so na yeye asogee barabarani ndo akasema poa .nilifika nikapiga simu hakupokee hadi leo hii uzuri ni kuwa sikutanguliza pesa mbele ila kimsingi huyu jamaa anakamatika kwa kuwa hadi sasa anapokea cmu za watu.