Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
dah huo ni ukatili mbya sna
Na anachofanya yeye sio ukatili?
dah huo ni ukatili mbya sna
Hahaaa, ungekuwa jirani ningekuja kukuliza laki tu nione!
habar wanandugu mimi ni muhanga wa kutapeliwa pesa na ndugu Kitomari2 nilidunduliza kiasi cha laki na nusu kwenye kibubu nikiwa na nia ya kuanzisha mradi wa kuku hiyo pesa niliipata kwa shida sana nikaandaa banda nikaoder vifaranga 50 nikalipia ila huwez amini tangu mwenz wa nane hadi leo roho inaniuma sana ila najua haki ya mtu haipotei bali itachelewa hilo ni jasho langu nitapambana no matter what tahadhar kwa wengine msije mkapotea kama mimi
Mheshiwa Mnyaa mie ningejua wapi pa kukupata,ningekufuata mjengoni nikachukua changu
nakushauri tumloge tafuta mshumaa mwekundu,then ni pm,for further instructions,pesa yako atairudisha yote....hii ni faida na kwa wengine wenye shida kama hizo pm,kwa msaada zaidi
Bora pawepo na JF MONEY wanakua wanapokea pesa na kuzihold hadi mnunuaji atoe release order kwamba kapokea mzigo wake salama salimini.
hii imekaa poa naunga mkono wazo zuri,pia tufanye expiriment ya kulonga to prove how it works kwa aliye dhulumuhaka ka wazo kama nimekapenda vile !!! Yawezekana jf wakaanzisha mradi mpya hapa atakae amau hela yake ipitie hapa either mlipaji au mlipwaji anacha % fulan hata mia 2 tuu ni faida tosha , invisible fanyia kazi hili wazo eti !!au mniite tulijadili pamoja! Nafikiria kulitengenezea uzi mpya tupate pia maoni kwanza
haka ka wazo kama nimekapenda vile !!! yawezekana JF wakaanzisha mradi mpya hapa atakae amau hela yake ipitie hapa either mlipaji au mlipwaji anacha % fulan hata mia 2 tuu ni faida tosha , Invisible fanyia kazi hili wazo eti !!au mniite tulijadili pamoja! nafikiria kulitengenezea uzi mpya tupate pia maoni kwanza
habar wanandugu mimi ni muhanga wa kutapeliwa pesa na ndugu Kitomari2 nilidunduliza kiasi cha laki na nusu kwenye kibubu nikiwa na nia ya kuanzisha mradi wa kuku hiyo pesa niliipata kwa shida sana nikaandaa banda nikaoder vifaranga 50 nikalipia ila huwez amini tangu mwenz wa nane hadi leo roho inaniuma sana ila najua haki ya mtu haipotei bali itachelewa hilo ni jasho langu nitapambana no matter what tahadhar kwa wengine msije mkapotea kama mimi
ni kitomari2 muuza vifaranga vya light sussex ndio tapel jambaz nitamloga
habar wanandugu mimi ni muhanga wa kutapeliwa pesa na ndugu Kitomari2 nilidunduliza kiasi cha laki na nusu kwenye kibubu nikiwa na nia ya kuanzisha mradi wa kuku hiyo pesa niliipata kwa shida sana nikaandaa banda nikaoder vifaranga 50 nikalipia ila huwez amini tangu mwenz wa nane hadi leo roho inaniuma sana ila najua haki ya mtu haipotei bali itachelewa hilo ni jasho langu nitapambana no matter what tahadhar kwa wengine msije mkapotea kama mimi