yanapatikana wapi nikanunue?Hutoacha nakuambia , roast cha mtoto, makange yatakuvutia kila siku .
Popote pale inapotengenezwa hiyo kitu waambie wakutengenezee utarudinakurudinakurudi.yanapatikana wapi nikanunue?
yaani nikitaka kupika kilo inabd ninunue na nusu ya kuonjahapo hauja anza kula
raha jipe mwenyewe maana yakupewa inamasimango mengiyaani nikitaka kupika kilo inabd ninunue na nusu ya kuonja
Jpili nilikua hapo jamaa wako vizuri sanaKazimoto porkpark ...tabata Segerea hiyoooo ,jamaa wanajua sanaaa
umeona eehraha jipe mwenyewe maana yakupewa inamasimango mengi
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Sanaumeona eeh
Tena ilichunwa mkuu.Songea kilo moja ya kitimoto ni TSH 6000
Cha ziada ni hio "Pork Point"kilo moja 18k? ina nini cha ziada?
Inakuwa tamu sanaWakuu ukienda ukaagiza Nyama kiti moto kilo moja unakula na kumaliza fasta hata wakati mwingne unatamani kuongeza, hebu piga Picha Nyama kilo moja ya ng'ombe huko nyumbani tunakula watu kumi na inabaki
Swali hivi kweli ile Nyama inakuwa ni kilo moja Au wanatuibia? Inakuwa kweli ni kilo moja ile Nyama ya kiti moto? Au wanatuibia? Au kuna sababu ingine?
Mkuu achana na kitimoto ya kuchoma aiseeulimaliza?
wanasemaga waswahili kuwa asali tamu lakini huwezi kumaliza chupa kwa pupa lazima uje unaonja kidgo unaondoka tena alafu unarudi tena unaonja tena na tena mpaka chupa inaisha sio mm ni waswahili haoHata ya kitimoto ukila kila siku utakuwa humalizi.
Au kinyesi chakeVitu vinavyoonekana haramu ndo huwa vitamu ndugu.. ile ngoma ikikaangwa ukiulizwa hata jina lako unaweza kulisahau kwa muda.. yule kiumbe anakula hadi mbao au hata watoto wake.. lazima awe mtamu tu..
Astaqafiruullah
Kazimoto porkpark ...tabata Segerea hiyoooo ,jamaa wanajua sanaaa