jagular
JF-Expert Member
- Oct 26, 2015
- 424
- 245
Siku hizi wapo vizuri kuna siku walinizingua niliwapiga mkwara mzito naona wamejirekebishaWesio wakwanza kukusikia ukiongea hvyo ila kuna siku nlipeleka familia tupige lunch pale nlijuta aisee kwanza wapo slow pili wanaiba uzito tatu nyama yao ya kawaida sana pia raha ya hii nyama uipige live bila makorokoro salamu zimfikie mshkaji mmoja hv fundi sana wa hii nyama alikuwa pale sinza darajan saiz kahamia road yakwenda Salma Kikwete mwingine ni pale Singida karibu na meatu hotel wale Jamaa nao hawana mbwembwe kabisa tukienda Moshi pale kiborolin kwenye contena Kule Tanga mule ndan sabasaba wengi wez sema kuna dogo mmoja yupo opposite na Tanga pazuri upande wa vibanda vinavyozunguka uwanja sema sio msafi kihivyo na pale Dodoma jiran na cbe pale sijui kama bado wapo wale Jamaa