Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,925
hapo hauja anza kulawakati mimi 1kg naweza imaliza kwa kuonja
hapo hauja anza kulawakati mimi 1kg naweza imaliza kwa kuonja
ulimaliza?Kuna chimbo niliingia songea nikaagiza kitimoto ya kuchoma kilo moja na nusu niko mwenyewe...wahudumu wote walikuwa wananitazama...
kumbe kuna makange ya kitimotoDaaah, hiyo kitu naipendaga sana ikitayarishwa kwa mtindo wa makange vitunguu kwa wingi , pilipili , hoho, karoti tangawizi na njegere .
Kaugali kadogo/ ndizi 2
Sprite/Pepsi/ castle lite
K- vant/ maji.
Tumbo linatuliaaaaa!!!!
kitimoto Zanzibar ???Nilikula kitimoto Zanzibar panaitwa kwa rasi sikumbuki mtaa, hadi leo najiuliza ile kitimoto ilikuwa tamu sana au nilikuwa na njaa sana! Maana tulivyotoka bandarini tu tukapitiliza kwa rasi aiseee kitimoto ilikuwa tamu balaa.
kilo moja 18k? ina nini cha ziada?Pork joint dodoma kilo1 ni 18k.niliwashangaa sana wakat ukienda nayo mnadan hiyo unaeza kimbia
nikienda ntakuquote unielekezeHapo kibololoni huyo jamaaa ni hatari kaka kama chokilate vile! Kuna mwamba yuko suka pale kilimani bar achaa mzeee unaweza sema huyu ni pofu au swala ana banika siyo mchezo ukishushiaa na k vant la haula lazima u feel uchumi wa kati
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Mdudu "handsome" 🐷🐽🐷🐽Hakuna nyama tamu Kama kitimoto. Wezee wa Masjid kibla tein nao tunakuwa nao mahali flani. Yule mdudu ni noma.
kitimoto Zanzibar ???
Na iendelee kuwa haramu ivyo ivyo ili tuendelee kufidi maana isingekuwa haramu hata bei yake ingekuwa mara dufu ya nyama na ingeishia kuwa mboga ya vigogo na masultani kwa utamu wake .Vitu vinavyoonekana haramu ndo huwa vitamu ndugu.. ile ngoma ikikaangwa ukiulizwa hata jina lako unaweza kulisahau kwa muda.. yule kiumbe anakula hadi mbao au hata watoto wake.. lazima awe mtamu tu..
Tegeta ipi mkuu?Sio kwamba uandaaji mkuu....unapajua gwanzoo tegeta..nenda pale agiza ugali nyama ndo utaelewa kwamba unaweza maliza kilo ya ngombe
Nikiagiza kilo moja huwa nakataa kama ni kilo moja, ila nusu kilo naaminiWakuu ukienda ukaagiza Nyama kiti moto kilo moja unakula na kumaliza fasta hata wakati mwingne unatamani kuongeza, hebu piga Picha Nyama kilo moja ya ng'ombe huko nyumbani tunakula watu kumi na inabaki
Swali hivi kweli ile Nyama inakuwa ni kilo moja Au wanatuibia? Inakuwa kweli ni kilo moja ile Nyama ya kiti moto? Au wanatuibia? Au kuna sababu ingine?
Wacha kuwasingizia banaHakuna nyama tamu Kama kitimoto. Wezee wa Masjid kibla tein nao tunakuwa nao mahali flani. Yule mdudu ni noma.
Ndo inasababisha kuwa pungufu?Vitu vyengine mkiambiwa sio vyakuvila huwa hamuelewi..
HAYA ENDELEENI TUU..
SawaMfundishe mkeo kupika. Hamna nyama ngumu duniani mbele ya mapishi ya viuongo vya pwani ngombe anakuwa tepetepe, chewable and tasteful
ntatembelea na mimi Zanzibar nikaoneNdio tena ilikuwa ya kiwango sana, kwa rasi mmoja mi sipakumbuki maeneo, anafuga kasuku.
Kitimoto ni faida kwanzia bandani Hadi mezaniShare kidogo faida zake mkuu
Hutoacha nakuambia , roast cha mtoto, makange yatakuvutia kila siku .kumbe kuna makange ya kitimoto