President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,548
- 89,516
Father kitima bado yupo na mawazo ya kizamani sana, bado yupo na mawazo ya Ujerumani kuitawala dunia. mbinu zenu zote za kuangusha mataifa kupitia dini zinajulikana zote. Vita vya kwanza vya dunia mlishindwa, vita vya pili vya dunia mlishindwa.
Kitima umeshazeeka waachieni vijana waiongoze katoliki waje na mawazo mapya. Mbinu zenu hizo za akina hitler Tanzania inazijua. Tanzania siyo ya kanisa, Tanzania ni ya watanzania, serikali ya Tanzania inajiamulia mambo yake yenyewe. Mipango yenu imeshindikana na Tanzania na watoto wa Tanzania watakukumbuka kwa kuongea uongo huku ukitetea maovu.
Wambie wajerumani kuwa tunawajua, na uchumi wao unaelekea kufa. Uchumi wa ujerumani unategemea kuiba kuua watu na ujambazi huko DRC. Unataka kuwakaribisha wajerumani hapa!!
Mzee Kitima unataka kutuletea ukoloni!!!
Kitima umeshazeeka waachieni vijana waiongoze katoliki waje na mawazo mapya. Mbinu zenu hizo za akina hitler Tanzania inazijua. Tanzania siyo ya kanisa, Tanzania ni ya watanzania, serikali ya Tanzania inajiamulia mambo yake yenyewe. Mipango yenu imeshindikana na Tanzania na watoto wa Tanzania watakukumbuka kwa kuongea uongo huku ukitetea maovu.
Wambie wajerumani kuwa tunawajua, na uchumi wao unaelekea kufa. Uchumi wa ujerumani unategemea kuiba kuua watu na ujambazi huko DRC. Unataka kuwakaribisha wajerumani hapa!!
Mzee Kitima unataka kutuletea ukoloni!!!