Kitila Mkumbo: Ndalichako amekosea

Wabongo vigeugeu sana!Maneno miingi! Juzi tu ndo hawahawa walitaka mfumo wa zamani urudishwe.Sasa hivi umerudishwa hawataki tena!Wanataka makongamano ya kujadili kwanini urudishwe,halafu mwisho wa siku ndo wakubali!Acheni uswahiliswahili!!
 
First nilikua sijui huu mfumo wa GPA kumbe upo nchi nyiingi tu

kumbe tatizo sio mfumo
tatizo ni viwango vya ufaulu

Kuna tatizo lingine Ndalichako halizungumzi kabisa

kuondolewa kwa vitabu bora kama vya Shaaban Robert kwenye mtaala
na kupachikwa vitabu vya kina Shigongo

na la wabunge ku lobby vitabu vyao viingizwe kwenye mtaalaa
hatari sana
 

Kitila, hapana. Hilo la mjadala litafanyika baadaye. Sio sasa ambapo watoto wanategemea matokeo ya mtihani muda mfupi ujao. Anaepuka watoto kudanganywa kuwa wamefaulu kama ulivyosema. Prof, just think as bit!
 
Nimepata kichefuchefu unaposema eti kamati ya Bunge ijadili. Wale wenye sifa za kujua kusoma ma kuandika? Pytuuuuuuuu
 
Eti nini? Huyu si ndio leprofeseri?
 

Attachments

  • IMG_20160122_192436.jpg
    101.1 KB · Views: 34
Kitila nae anazingua tu. Watu siku hizi wanajua umaarufu ni kiongeaongea hovyo.. Nonsense
 
Kwa mawazo yangu kitila yupo sahihi,
Kwa sababu kile kilichopelekea wakabadili mfumo bado hakijapata majawabu ya kutosha,kama kungekuwa na mjadala wa kitaifa ingesaidia kutafuta majawabu juu kile kilichotokea hadi kuitia aibu serikali kwa kuzalisha zilo nyingi.

Ninachokiona Ndalichako kama Wazili mwenyewe dhamana ya elimu amejiandaa kuwa na uso mugumu usio na aibu.
Kwani ile aibu iliyoikumba serikali kwa kudhalisha zilo nyingi iko njiani inakuja.
Kwani sidhani kama kuna mikakati ya kuridhisha kuinua kiwango cha ufaulu kwa shule za uma.
 
 
Mimi nadhani wadau wasitumie muda mwingi kumshambulia Prof Kitila Mkumbo badala yake waangalie mzizi wa hoja.....

Hofu ya Watanganyika sio kuacha GPA na kufuata division ni kwa jinsi huo mfumo wa GPA ulivyokuwa unaendeshwa kwa kupunguza viwango vya ufaulu ili wanafunzi waonekane wamefaulu ilhali wana uwezo mdogo sana.....

Pamoja na Waziri wa elimu kuuondoa mfumo wa GPA lakini pia aangalie na viwango vya ufaulu...ili kupata wahitimu wenye tija kwa taifa na ikiwezekana dunia kwa ujumla...
 
Kitu cha kipumbavu huna haja ya kutafuta maoni ya wananchi!!!
 
wao n
wao ndio wataalam nashangaa mnataka kuwapa uwezo huu wananchi ambao hawajui a wala b. sio sahihi hata kidogo. mnataka mfanye maamuzi ya kitaalam kwa kutumia mihemko ya wananchi. sio sawa kabisa! !! acheni wataalam wafanye kazi yao.
wataalam waliokuwepo waliulizwa nini sababu za kutoka katika mfumo wa zamani na kuanzisha huu mpya wa GPA. halikupatikana jibu kutoka kwa wataalam hao wakina Dr Msonde. sasa kama ni hivyo wananchi mnataka kuwaangushia zigo wasilolifaham? ?? sio sawa
 
Kaka huyu prof. Mkumbo usimfuate sana ni mwanasiasa (active) hivyo hawezi kuwa objective lazima hivyo alivyo awe hivyo
 
Division four ilizarauliwa sana na kuonekana ni daraja dhaifu kwa mwanafunzi aliyepata na kuonekana hana akili na hafai kuendelea mbele,jamii ikawa na mtazamo huo.GPA ilipoletwa ilivuruga kabisa mtazamo huo.
 
prof unasema bunge lishirikishwe bunge lenyewe limejaa wakina nape unazani watashauri nini.Mtu kama maji marefu what do you expect in bunge
zamani wakati wa mfumo wa div,katika wanafunzi 80 wanaofaulu walikuwa hawazidi 10,lakini walipopanua goli na kuweka gpa weeeee!wanafaulu 79 anafeli 1.wengine hata majina kuandika hawajui lakini wamefaulu
 
GPA ni jipu kama hao watoto wao wanaowasomesha shule za.kimataifa.hawaelewi msiiharibu elimu yetu. Hata wale waliopita.kwa mfumo huo wapangwe upya.
 
GPA ni sawa na kuongeza ukubwa wa goli ili mpiga penalt afunge kwa urahisi.
 
GPA ni sawa na kuongeza ukubwa wa goli ili mpiga penalt afunge kwa urahisi.
Tatizo sio mfumo wa GPA, kimsingi mfumo wa GPA ndo mfumo international, nchi nyingi hawaujui mfumo wa division, na kama issue ni kupanua goli hata mkiwa na mfumo wa division mtapanua tu, division haizuii kutopanuliwa goli lama serikali au necta walitaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…